@mbtvkenya: Sio ajabu mtu kuacha uovu… ajabu ni mtu kuanza mazuri kisha akachoka nayo baada ya Ramadhan 🤍 Sio ajabu mtu kuacha uovu na kuanza kufanya mazuri… Lakini ajabu ni mtu kuanza mazuri halafu akachoka nayo baada ya Ramadhan. Ramadhan haikuwa mwisho wa ibada ilikuwa mwanzo wa mabadiliko. Kama uliswali, soma Qur’an, ukawa na subira… basi hiyo ndiyo njia yako ya maisha, sio ya mwezi mmoja tu. Allah anasema: ﴿فَاسْتَقِمْ كَمَا أُمِرْتَ﴾ "Basi simama imara kama ulivyoamrishwa." (Qur’an 11:112) Na tena: ﴿إِنَّ الَّذِينَ قَالُوا رَبُّنَا اللَّهُ ثُمَّ اسْتَقَامُوا...﴾ "Hakika wale waliosema Mola wetu ni Allah kisha wakasimama imara…" (Qur’an 41:30) Usichoke kufanya mema… Kwa sababu Allah hachoki kukupa thawabu 🤲🏽✨ #Istiqamah #BaadaYaRamadhan #Usichoke #Taqwa #IslamicReminder #mbtvkenya