@al.akhi.naasir7: Share iwafkie Wenye shida katika hili

Al Akhi Naasir
Al Akhi Naasir
Open In TikTok:
Region: KE
Saturday 28 March 2026 12:03:45 GMT
106831
11027
193
690

Music

Download

Comments

qiramy114_0
Qiramy Hussein :
Asalam alykum, Je mtu mwenye kujichua baada ya kujiridhisha anapaswa kukoga JANABA ima anakoga kawaida?! ahsante ujibu ukinitag inshaallah
2026-03-28 12:36:54
7
mrsms55
UKTHY WA KILIFI :
huyu n mwalimu bhana nimejifunza vitu vingi kwakwe ,ALLAHAMDULILLAH WALLAH
2026-06-01 12:21:30
5
hamzapapa84
HamzaPapa :
ALHAMDULILLAH na Salah ambayo imam anaswalisha Kwa sauti Maamuma Al fatiha anatakiwa kuisoma wkt gani sambamba na imam ama imam akiimaliza Al fatiha
2026-03-28 20:44:30
7
xoudmaestro
xoudmaestro :
Asalam alykum. je ikiwa nimechelewa kuingia msikitini. nimekuta watu wameshaswali jamaa. nikakuta mtu anaswali ila Mimi sijuwi kama swala anayoswali ni faradhi au sunna. na nikataka aniongoze ila Mimi nikanuwia kuswali faradhi baada yakumaliza nikajua yule aliekua ananiongoza alikua anaswali sunna. je swala yangu itakua kundi Gani kat sunna au faradhi.?
2026-03-30 10:47:47
1
rebootly
Rebootly™ :
Assalamu alaikum ustadh wangu. Swali langu: Je, nikisahau kusoma Alfatiha katika Moja ya rakaa? Naleta sijdatul sahaw, au naswali tena?
2026-04-02 20:03:49
0
nailla.nshimirimana
naila :
asalam aleikum warahmàtullah wabarakatuh unawez uko unasoma surah ingine Badoo hujamaliza imma na ruku help🙏
2026-04-07 04:17:02
2
mchangama9
mchaنgama :
salaam aleikum, na vipi katika swala ya sunnah baada ya fatiha lazima sura nyingine?
2026-05-19 14:44:37
0
neemasenya
neemasenya :
sheikh tafadhali naomba unijibu... je baada ya imam akishasoma fatiha na maamuma nao wanatakiwa kuirudia Tena? wkt Imam akiwa anasoma sura nyingine?
2026-03-31 17:31:42
1
user15870405471074
Popo bby :
shukran nazd kuelimika zaid kwakukufollow
2026-03-29 21:05:57
0
zazy2766
Zazy :
Salam Aleikum Warahmatullah Wabarakatuh,Ustadh ni na swali kuhusu salat za Sunna,Je inaswih kusoma nyingine surat baada ya kusoma surat Al-Fatiha?
2026-04-05 19:21:31
0
rehema3560
rehema :
asalam ghalalayku swali langu ni nin maana ya ariganu na dari nadwa
2026-03-31 12:21:00
1
user48707984769668
Sulesh,,,,,? :
shukrana kwa mafunzo
2026-03-30 08:20:37
2
nadmour1
nadmour :
Shukran sana😭
2026-04-24 14:22:09
1
user2717051074606
Iddi M Lila :
mpka kuku anakupenda mashaala
2026-03-30 04:16:23
3
zainabsaid6156
Zaisai♥️ :
Ishallah 🥰🥰🥰🥰
2026-03-30 11:44:40
1
jolieashanti8
Ashanti :
shukran kwa darsa
2026-03-31 10:09:08
1
user20722356352754
munezero :
shukran
2026-04-03 18:40:10
1
abdallah.saphania
Abdallah Saphania :
Nice one
2026-03-28 13:03:36
3
user7690616802749
my tiy :
Asnt San
2026-03-31 17:58:16
1
lshani58
khairath ❤️ :
brother naomb huy kuku 🥰🥰🙏
2026-03-30 17:38:19
1
user15227374130435
Tasha Tasha :
Asante sana
2026-03-29 13:47:54
1
user56799129344763
Amina nyama :
shukran sana 🥰
2026-03-29 18:46:12
1
sabbah5904
aly~ahyaa🌹 :
mashallah
2026-03-30 17:01:47
1
live_events_tiktok
BEST VIEWS 🍀 :
Mim niwakwanza leo sheikh nilitaka unambie kwanin nachukua mda san kutoka surah moja mwenda nyingine naomba unipe tips zaku soma insha allah kwasababu kutoka kwenye mursalat ina kua kaziii
2026-03-28 12:11:19
4
wamanta5
WAMANTA5🦺🦺 :
ماشاءالله❤️❤️
2026-03-28 20:24:50
1
To see more videos from user @al.akhi.naasir7, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About