@healthyfity1: 🧂 Maji ya uvuguvugu na chumvi kwa changamoto ya tonsil stones Changanya nusu kijiko kidogo cha chumvi kwenye glasi 1 ya maji ya uvuguvugu, kisha sukutua (gargle) kooni kwa sekunde 20–30 bila kumeza. ✅ Fanya mara 2–3 kwa siku, hasa asubuhi na kabla ya kulala. ✅ Husaidia kupunguza bakteria kooni ✅ Hulegeza mabaki yanayojikusanya kwenye tonsils ✅ Hupunguza harufu mbaya ya mdomo na muwasho wa koo ⚠️ Hakikisha maji si ya moto sana ili kuepuka kuunguza koo.#tonsilitis #sorethroat #foryoupage