nakukubari sana shee wangu ahahah ina uwa kwa harufu ahaha shaallha
2026-04-02 08:43:37
3
Muna Bhai :
Mola Akupe Umri Na Afya Ahh Watoa Elimu Watoa Darsa Kamili Uislamu Sio Mambo Ya Mkato Mkato Allah Barikly Fiiy
2026-03-30 05:31:48
3
Muhandas :
غير مشروع
2026-03-31 12:00:57
2
Uza_nunua_used_items :
Sasa swala yako umeiga kutoka kwa nani
2026-03-30 19:27:46
1
noblekhan :
Mie ndio maana nakukubali sana mwalimu mziwanda
2026-04-02 04:10:05
3
Papa Lolo :
Hoja dhaifu eleza vzur
2026-03-30 04:53:16
5
أبو إدريس السلفي :
معنى غير مشروع ؟؟؟
2026-03-31 19:10:40
2
Nassir Makame :
Barakallahu fiik
2026-03-31 10:29:23
1
Mwihindiwetu :
Asante shekh
2026-03-31 03:28:19
1
fdykhslmkpn :
Dah😳 Hatari
2026-03-29 11:54:24
3
shauqy de miro :
mash allah
2026-04-01 20:40:23
3
Siraji Mkonga :
Mwamba huyoo
2026-04-01 09:35:42
0
habibu khalfani :
mashaallah
2026-03-30 19:25:45
1
user3991262962725 :
simafunzo ya Mtume muhammadi swalallahu 3alayhii wasallam
2026-04-17 14:08:55
0
user8938994368379Alhaj Rashid :
Tunao coment,tuheshimu wanazuoni wetu.
2026-03-29 14:08:05
9
mud :
huyu sheikh anapenda ushindani Allah atuongoze
2026-04-20 06:27:11
0
saras :
📖 Dalili
1️⃣ Mtume ﷺ hakuwa akiendelea nayo kila siku
Imepokewa kuwa:
Mtume ﷺ alifanya Qunūt kwa muda (wakati wa matatizo), kisha akaiacha.
👉 Hii inaonyesha Qunūt ya Alfajiri haikuwa ya kudumu, bali ilikuwa kwa sababu maalum (Qunūt an-Nāzilah – wakati wa balaa).
2️⃣ Hadith ya Sa‘d bin Tariq kutoka kwa baba yake
Alisema:
“Nilimuuliza baba yangu: Je, Mtume ﷺ alikuwa akisoma Qunūt katika Alfajiri?”
Akasema: “Hapana mwanangu, hiyo ni bidaa.”
📚 (Imepokewa na Tirmidhi na wengine)
🌿 Hitimisho
❌ Qunūt ya Alfajiri sio lazima
❌ Si Sunnah ya kudumu
✅ Inaruhusiwa tu wakati wa matatizo makubwa ya Waislamu (Qunūt an-Nāzilah)
💡 Ushauri
👉 Ukiswali nyuma ya Imamu anayesoma Qunūt:
Mfuate, sema “Aamiin”
Usivunje umoja wa Swala
haya ndio mafundisho ya mtume
sasa nyie munao qunnut kila swala ya alfajir mumetoa wap andiko
2026-03-30 16:21:29
4
أبوا ورد :
mshangazi kaza sauti
2026-04-10 11:49:18
0
Abdullgani :
mtume s.a.w aleienda Hajj mara moja sasa wenye kurudiarudia Hajj itakuwa bid'aa pia? kuqunutu kwenye swala ya fajr ni sawa na ni sunnah Allah s.w anajua zaidi
2026-03-29 20:47:17
4
Mwandiani mohammed :
usife Leo jomba wape maneno.
2026-03-30 20:37:46
0
juma :
shekhe mshangazi
2026-04-02 15:28:25
1
To see more videos from user @king.of.layza, please go to the Tikwm
homepage.