@salki17pro: Ulishawahi kupitia kipinda kigumu mbaka ukajihisi sio binadamu tena.??👇💭#Brokenheart💔 #Mahusiano #Deepfeelings #Upendo #Fyp

Salki17Pro
Salki17Pro
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 02 April 2026 05:32:17 GMT
266546
21066
553
1395

Music

Download

Comments

faraja213
shop by Gee🥰🥰 :
Malipo duniani na yeye ataachwa tu kikubwa nikumlilia Mungu achelewi kujibu🙏🙏
2026-04-02 14:44:50
299
rebecca.nelly3
rebecca nelly 78 :
kipindi icho ndo ninacho pitia sasa jamani naumia sana
2026-04-02 12:55:59
162
w3287da
sane boy :
Duh popote pale ulipo Glory naomba unisamehe pole sana🥹🥹
2026-05-08 06:16:07
7
niceomar142
Nice Omar :
ilinikuta Mm nilikuwa na wakati mngumi sana kiukweli ila bado sijapona vizuri
2026-04-02 08:10:37
85
witcogail
witco ❤️❤️ :
inauma 🥺🥺🥺, ila me ajaniambya kuwa ameniacha au nn ila nampenda na saiv nipo na mwanajeshi nampenda sana 🥰🥰🥰
2026-04-02 07:50:01
25
allywaziry105
allywaziry105 :
Mimi kweli wakushindwa hata kulala mwezi mzima 😂😂nitaheshimu Sana mtu anayenipenda ,huu mwaka ni mgumu Sana kwangu💔
2026-04-05 09:30:41
28
rouhy.tanga
Rouhy ❤️Tanga🇹🇿🦋❤️ :
Kaniacha anambia nimekuacha kwa ajili ya kumlinda mtu mwengine Aloooo 💔 💔 but Alhamdulillah Alaa kull hal 🙏
2026-04-02 12:21:36
39
faboluos.alsina.t
Faboluos Alsina Tray :
mwanamke atakae nishawish kurud kupenda tena kiukwel ntaampa zawad kubwa sana 🙏
2026-04-03 08:55:01
5
aisha.ally916
AISHA ALLY :
nimeuapitia ayo lakin malipo ni apa apa duniani
2026-04-03 07:25:44
7
ruqaiya0776
Ruqaiya🌹 :
Mimi ndo niliachwa hivyo unasema nakupenda anasema sikupendi anakuonesha kama ana mtu hayo maumivu yaacheni tuu🥺
2026-04-03 05:34:38
11
agnes.agnes.sanga
Agnes Agnes sanga :
mm nimeachwa juzi to apa nikikumbuka moment naumia atari
2026-04-02 18:55:43
6
faisal_mamba1
Faisal🐊 :
Msidharau comments watu wanamaanisha💔 wanapitia maumivu 🥺
2026-05-15 19:44:20
6
missyanna_01
I EM ZYRA~LUXE✨🦋🩵(RAVEN🐦‍⬛) :
Ngoja ninyamaze maan naweza nikalia kwenye comment
2026-04-02 20:02:25
6
kabagambe31
Eligidius Jovini :
Inauma sana sana bac kwa mtu asiyeyajua
2026-04-02 18:37:02
7
user9114741920301
Daffa :
daah ila kiukwel mapenz yanaumiza sana🥺🥺
2026-04-09 19:09:06
5
kuami426
KUAMI EUGENE 🇬🇭 :
Yasikie tuuuh
2026-04-02 11:41:22
6
amayasmom28
Amayasmom🦋 :
Yan huwez kuelewa mpak hii hali ikukute ni kumuachia mung tu nd atakaetulipia ila inauma sana😭🙌🏽
2026-04-03 09:50:02
7
mollen684
Mrs B :
Sio poa hii kitu🥺💔🙌
2026-04-04 09:05:18
6
da.moo68
Da Moo 🥰 :
kabisa hich kipnd ndio ninach sas hiz
2026-04-02 10:36:15
15
veronicayusuph6
Nasrah✨🦋❤ :
me nisha pona ila kupenda ndo akuna tena nashukru Allah kaniondlea maumiv na upendo nlio wapend wakanitenda
2026-04-02 11:57:23
6
pozee247
willium :
inabidi ujue tu kwamba dunia haiko fair utaishi kwa raha
2026-04-02 11:55:48
9
kabinti_special_
Kabinti special 🦋💕☘️001 :
Sito sahau 2022 nili achwa bila sababu😭 alafu anakuja kurud 2025 et ni msamehe tuanze upya simple tu 🥺🤌🏻
2026-04-03 13:28:35
18
laventa.john
Laventa John :
mmhh kweli ni mm tu na mungu ndy anajua haya maumivu nilitamani aridhi inimeze alichotwa mawazo
2026-04-03 03:30:01
5
ts._samira
samira :
1dec 2024 Mungu am grateful for that ila kama nilifanya jambo nikastahili yale niliyopitia basi nimepokea kwa mikono miwili Alhamdulillah, ila if alifanya for ubinafsi na sikumkosea basi Allah ww ndo mjuzi na muweza wa kila kitu
2026-04-03 19:54:30
5
user3714728392802
Mr:dube :
Hii ndio hali ninayopitia hadi ndugu na mama yangu wananisaidia huzuni na kunisaidia kulia
2026-04-02 09:48:21
6
To see more videos from user @salki17pro, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About