@zellahuzazitips: 🦷 MATATIZO YA MENO YANAYOSUMBUA WATU WENGI! Usipuuze dalili hizi: • Maumivu ya meno • Harufu mbaya mdomoni • Fizi kuvimba na kutoa damu • Meno kuoza au kutoboka • Maumivu ukila vitu vya moto au baridi Watu wengi huishi na maumivu kwa muda mrefu bila kujua kuwa tatizo linaweza kuwa kubwa zaidi. Tibu mapema kabla halijafikia hatua ya kung’oa jino. 📩 Wahi kupata ushauri na matibabu mapema. #foryoupage #madamzellah #afyayangu #dentalcare

Madam Zellah
Madam Zellah
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 05 April 2026 05:44:26 GMT
2697
18
6
5

Music

Download

Comments

131sauti
Last & First born🔞 :
unapatikana wapi Mimi Niko Musoma
2026-04-05 12:11:03
1
hamunzamadoxx
Hamunza madoxx :
weka no ya cim, tunasumbuliwa na tatizo kama iro
2026-04-05 13:39:56
1
hamissjafari3
hamissjafari531 :
naitaji izo dawa mnapatikana wp
2026-04-07 13:49:17
1
To see more videos from user @zellahuzazitips, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About