@juma_misosi: Natoa ONYO KALI na TAHADHARI usitumie hii recipe kwa WAUME ZA WATU 🔥🙌🤣. Ila kama unataka ndoa kaa chini chukua maujuzi ukampikie huyo muhalifu mwenzio🤣🤣. Mahitaji Maziwa Mafuta ya kula Essence yyt unayoipenda ( eg. vanilla) Trending recipe kwa sasa ni TAMU YA JUMAS KITCHEN #jumaskitchen #heavymilkcreamrecipe #lunch #cooking_is_an_art #fyp

juma_misosi
juma_misosi
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 06 April 2026 21:20:01 GMT
312791
8000
106
652

Music

Download

Comments

aggylv
Aggy🦋🍫 :
unapikia kwenye vyakula gani
2026-04-06 23:28:57
10
princessherbieberr
Habiba 💜♐️ :
vitu vyako viko unique
2026-04-07 06:38:38
10
khadijauledi465
Khadija Uledi465 :
maziwa na mafuta ni kiasi gani
2026-04-07 04:29:19
5
user76011169080014
DarDar :
Hiyo ndio inaotwa cooking cream au?
2026-05-25 15:14:14
0
lucyrichard11
Yundu Gal🌹♥️ :
Ngoja nikufollow ila nikiuliza naomba uwe unajibu tuu napenda kuuliza
2026-04-07 08:13:03
7
namuza5
Namuza💕 :
Nikufollow unakitu mwanetu🥰🥰🥰
2026-04-16 05:49:00
1
nusratyochu
Aythar Beauty💃 :
Kaka samahan nimesave hii video mda sana naomb kuuliza mafuta lazima korie au yoyote
2026-05-09 06:12:09
1
emmymassawe335
Emmy Massawe :
mtindi au fresh?
2026-04-10 08:20:26
1
td05127
teddy bear :
nmekufollow
2026-04-08 13:37:03
3
miamioffstyle
Miami Online🇹🇿 :
Hivi naweza kuongeza kitunguu swaum na cotmir🥹
2026-04-17 12:39:42
1
udnah7
Udnah :
Sor maziwa ni mtindi ?
2026-04-10 13:23:44
2
annastazia3260
Annastazia Teckson :
Safiiii
2026-04-23 07:32:06
1
dadake78
Hella :
:hio cream utaweka kwa frigde ikibaki?
2026-04-08 16:43:14
1
user39106724460977
timeh janja :
mwanetu Leo nimepata
2026-04-12 13:06:48
1
husnaelnest
Husna :
Nmeona nkufollow 🥰
2026-04-07 15:29:36
2
mamareen092
Mama tee :
Haiaribiki
2026-04-08 18:25:28
1
lucyrichard11
Yundu Gal🌹♥️ :
Emu upike chakula uweke hii kitu nione sasa
2026-04-07 08:14:13
5
dadake78
Hella :
what about ndizi?
2026-04-08 16:42:14
1
zayn14151
Z a y n a b🌺 :
hii ndo wanaita condenser milk au sio hii
2026-04-23 11:38:41
2
believe..it..happen01
am happy :
samahan hio unatumia wap
2026-04-08 13:34:47
0
khazher3
khazher :
kwaio kweny chapati za maji unaweka
2026-04-09 13:05:56
1
icky_moh
Icky's kitchen 🇹🇿 :
Vanilla ?
2026-04-07 17:22:33
1
chammyrahya
Chammy✝️💕 :
ATI naomba kuuliza is it better butter or cooking oil.
2026-04-08 21:30:02
2
user2465807980332
user2465807980332 :
inawezekana kutengeneza nyingi alaf niifazi kwenye friji nikiwa napika niwe naitumia?
2026-04-23 11:26:38
1
raddu_afri
Raddu_Afri :
Why vanilla essence kwa vyakula vya michuzi, I thought ni dessert tu
2026-04-14 09:39:20
1
To see more videos from user @juma_misosi, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About