@promentaconsultancy: EPUKA UNAFUU WA LEO MANA UNAMAUMIVU MAKUBWA KESHO. Hakikisha unadai risiti ya manunuzi kwa kila kitu unachonunua na kila huduma unayolipia. #taxconsultant #taxcompliance #biashara #tiktoktanzania🇹🇿

PROMENTA CONSULTANCY COMPANY
PROMENTA CONSULTANCY COMPANY
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 08 April 2026 17:24:23 GMT
16087
531
34
130

Music

Download

Comments

user5176167195957
user5176167195957 :
Naomba namba yako ya office Dada
2026-06-09 14:18:02
0
msux92
Frank :
hiyo 30m ni hasara kubwa sana maana yeye ana faida ya 25m baada ya discount ya 5m kutoka kwenye manunuzi ya 80m mwisho wa siku faida yake yote inachukuliwa na hasara ya 5m tena hii ni mbaya sana ahsante kwa somo
2026-04-09 17:59:16
4
master17446
Master :
asante
2026-05-31 08:19:35
0
innosaf.decor
INNOSAF DECOR :
apo inakuaje kwa wale wanao import kutoka njee ya nchii ?
2026-05-27 11:10:14
0
mwanawakuchitembeja
hamza :
Nimelipata darasa
2026-04-08 19:58:25
2
namramba0
Namramba :
Habari Asante kwa Elimu ya bure japo bando limekatwa . ofisi zwnu zipo wapiii
2026-04-09 11:05:28
1
ankojei
ankojei :
Unakili ujemgewe mnara
2026-04-08 19:20:44
2
yoabulazaro
Yoabu Lazaro :
Sema TRA wanaumiza saana watu Yaani daah
2026-05-19 22:45:13
0
stan_carcomfortsolutions
stan_carcomfortsolutions :
Nimepata elimu muhimu sn niliyokuwa natamani kujua. Asante sn
2026-04-09 13:14:26
3
murshidmhngeze
murshidmhngeze :
nakushukuru sana. naomba nikutafute nipate msaada zaidi
2026-06-05 07:01:12
0
jack.ma6983
Jack Ma :
Nyie mpo wapi
2026-04-12 08:55:06
0
dickson.mboneke
dicksonmboneke :
Dada leo nimeshiba kuanzia sasa wamenikosa thanx dada
2026-04-11 03:09:13
1
robertmaige505
Robert Maige :
risiti zenyewe ni hizi za efd zinazofutika haraka
2026-04-08 18:14:35
1
medialink_networks
medialink networks :
je kuna namna TIN number ikasoma jina la biashara lilosajiliwa brela?
2026-04-08 21:27:11
2
shanelarra8
shanelarra7 :
kwa yule anayenunua mazao kwa wakulima kijijini anapataje risiti ambapo mkulima hana efd machine
2026-04-08 18:39:12
4
0628313187ma
JAPHET MARAMBE :
kwani kama aliniuzia na kuweka tin namba yangu Kuna haja ya kutunza risiti hiyo
2026-04-09 12:36:28
1
harlinsafari
harlinsafari :
kwahiyo kwenye faida ya 20 m mnachukua 6m wenetu me nikilipa kodi ya pango na wafanya kazi nabakiwa na nini wenetu
2026-04-09 06:47:49
1
shaban.eng
Shaban Eng :
Naomba namba zenu ili nipigesim. nipate naitaji maelekezo Zaid
2026-04-11 04:00:48
0
joasamwe20co.ltd
KATCO :
Tanzania mfanyabiashara amekonda Kwa utitiri WA Kodi ,shida bado tunatembea na Kodi za mkoloni na pia TRA wanafanya kazi zao zakuvizia mfanyabiashara pale anapoanzisha mradi unakuta wamekaa Tu ,shida inakuja wakati WA kufunga hesabu za mwaka ndo utawaona wanakuita na kukupa hesabu ndefu na hasara juu
2026-06-14 19:50:59
0
user3100173091773
user3100173091773 :
naweza kutumia slip ya bank ya malipo niliyofanya kwa supplier ikiwa nimepoteza rist au kwa bahati mbaya sikuchukua risit?
2026-05-14 15:25:29
0
cleshaz
Mr Clever :
Sasa bosi akilipa nawafangakazi anabakiwa namilion5
2026-06-16 16:25:51
0
user572253396116
user572253396116 :
💯💯💯💯💯💯💚
2026-04-09 18:04:03
2
violeth_cosmetics
VIOLETH__COSMETICS :
👏👏
2026-04-08 18:05:07
2
msure14
Eng Michael :
🥰🥰🥰
2026-04-27 21:45:43
0
To see more videos from user @promentaconsultancy, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About