Kwenye maandiko matakatifu acheni kujifanya great thinkers ruhusu Roho Mtakatifu akufundishe usirahisishe mambo
2026-04-25 01:00:30
12
campun :
Mungu akufunulie uyaelewe maandiko kaka yangu
2026-04-10 04:53:53
22
Kituo cha Magari used Dar🚗 :
mkuu soma kitabu cha book of wisdom utapata kitu zaidi
Huna inbox nikutumie
2026-04-10 05:08:12
13
KANEJA MANGARU :
In additional, mafundisho mengi tunayo pewa yanatufanya tumuone Mungu kama ni mwenye hasira na mkali sana wakati hayuko hivyo,amejaa huruma na upendo.
2026-04-09 18:41:55
6
MCHUNGAJI HESHIMA A. VEMA :
nakukubali ila Kwa fundisho hili umepotosha
2026-05-23 00:40:33
1
ken xaka :
usipokuwa na hekima uwezi kumwelewa
2026-04-10 10:32:45
6
M,O🙏 :
ufunuo 20:10
inaonyesha watateswa usiku na mchana, milele!!
2026-06-02 16:49:09
0
uwesu mitema :
ila nakupenda sababu unaonekana ni muelewa
2026-04-10 03:02:03
8
Vitus Medard :
Nyie Vijana 😭😭😭😭😭
2026-04-11 19:31:14
1
Sentinelle du Royaume 📚 :
Iyi injili usipo funuliwa na roh wa Mungu ambae ni mtakatifu Uta zani mtumishi ana zungumuza habari zakuwa huru katika vitendo. Woga ina sisimusha maarifa.
2026-06-04 17:38:59
3
Mr. Urio ~ Ajay Electronics :
Pure truth.
Do anything for love not by force. 🥰
Hata Mungu huwapenda watendao kwa upendo si kwa shuruti.
2026-04-11 08:07:15
6
Junior :
Amina mtumishi
2026-04-11 11:27:57
1
Mbiligi OG :
ukweli mtupu
2026-04-10 19:42:52
1
King_Apollyon#Royn :
God bless you 👈
2026-04-09 18:59:14
6
BROTHER ANNATHORY FR,official :
sahihi wanatutisha bhn awatufundishi uzuri WA Mungu
2026-06-24 18:53:18
2
Ezekiel joseph :
uyoo nimiii kabisaaa
2026-05-31 20:58:38
1
ALEXBOY 👑 :
Amen
2026-05-20 09:03:44
1
KANEJA MANGARU :
I'm glad to hear this from you, Mungu amekuinua baada ya kuona mimi nachelewa.
2026-04-09 18:40:13
6
KHARISS kababaa :
Kuna ukweli flani nauona
2026-04-10 19:52:57
1
Mzalendo Ben. :
Asante sana kwa Kuweka Wazi jambo Hilo
2026-04-11 03:07:17
1
Bozarty :
message so underrated in societal realms
2026-04-12 18:30:23
1
chumvi ya ulimwengu :
Nakuelewa sana mtakatifu
2026-04-10 17:04:00
1
@Dr Ndauka :
hahaaaaaa tutayaona mengi
2026-04-11 08:13:18
1
JAVA LION :
upo sahihi sana brother, katika hili nimekuelewa sana sana sana. nimeyawaza hayo miaka 15 iliyopita
2026-04-21 07:38:31
1
ESAM :
nice nimejifunza kitu
2026-04-10 05:31:25
3
To see more videos from user @abisainzali, please go to the Tikwm
homepage.