wangapi tulikuwa hivi 2012 _ 2013 LAKINI Sasa hivi sijui ata nipo wapi 😳mungu niludishe ata kidogo nije mbele zako Tena mbona nimepotea😭😭😭
2026-04-11 08:18:21
329
ever :
jaman jina la shule plz na kama ina advanc na ada zake pia
2026-04-11 10:25:53
54
Boss lady :
hii faraja seminari iko wap jmn
2026-04-10 11:10:25
35
@mbeya queen👑. :
Namimi nilikuaga hv hv sijuh nini ikanipata😁
2026-06-06 20:54:15
1
Stanley Makoba :
natamani sanaa kurudi madhabahuni kwa bwana enzi hizo shuleni nilikuwa hvyoo mtaani sasa sijui nin kimenikuta nimangaliaa hii video had choz nataman sanaa lakin nashindwa mungu nisaidie nikutumikie wew tena katika roho na kweli 🙏🙏🙏🙏🙏
2026-04-13 07:09:44
22
youngteacher56 :
shule ipo mkoa gan?
2026-04-11 07:07:26
12
Gaudence olemollel Olemollel :
nilikuwa hivi 2009 hadi2012 makuyuni boys secondary school ila kwa sasa dah!!! Mungu nirudishe mm ni mwanao
2026-04-13 10:35:28
14
neema nyamongo :
mungu awakumbuke wanangu🙏
2026-04-10 19:03:06
28
INNO TRONIC :
Apa kunamtu yupo apo na anapata 1.7
2026-04-10 21:20:49
12
Annie🇹🇿 :
Mungu naomba unifanye yule wa zamani nazid kupotea🥺🥺🥺🥺🥺
2026-04-12 21:29:47
11
felix :
hongera Sana wanangu
2026-06-02 11:25:33
1
tjail mwampagama :
Hii ni TAG et
2026-04-10 17:50:29
10
Golden girl ✨️ 💛 :
nimekumbuka adi niliko toka na huyu mungu wangu penda sana ww daddy
2026-04-11 22:04:52
7
Sir-charles :
amen. amen amen namuogopa Mungu ninapoona vijana wadogo wanamtolea Mungu Ibada namna hiyo, Mungu ambukiza Roho ya wokovu kwenye familia yanguuu katika jina la Yesu kristo wa Nazareth Amen
2026-04-11 07:24:40
10
YUSUF☑️45 :
wow 🫶🫶🙏🙏😭😭😭
2026-04-25 16:42:22
1
Jane :
ameeen mtafika mbalii naamini mi pia nimekumbuka mbali sana kipindi nip advance jmn♥️♥️♥️
2026-04-10 16:39:28
11
yudajohn45 :
🥰🥰🥰👌👌Safi sana vijana Mungu ni kila kitu katika maisha
2026-04-10 16:17:51
14
Barongo :
nyimbo hii imenibariki sana.Mungu wa mbinguni awatunze.