@doctorpikipiki1: #creatorsearchinsights #motorcycle #china #india #ugandatiktok mafundi tuwemakini kwenye ufanyaj kazi wetu tusiwe nahalaka yakupata pesa natuma mpotezamteja moja kwamoja fanyaa kitu kinacho eleweka na uaminike
piki piki yangu ni boxe 125 ikinyeshewaa inajiresi wakati unaendesha shida ni nini kakaa
2026-05-11 19:05:00
1
😏😏 :
fundi la ulaya
2026-05-13 07:26:05
1
g_unique🐬 :
Dogo upo wapi?
2026-05-06 15:00:04
1
Hassanhembe :
upo vzr kijana nakufatilia sana ktk kazi zako.
2026-05-07 08:21:21
1
Godian Omar :
na tvs 150 hlx kua na mis na plug inachafuka sana shida ni nin fundi wangu nipo kenya
2026-05-16 11:32:58
1
Ally omary :
mic ya valvu ni IP tutumie tujue
2026-04-25 21:05:01
1
SAID 777 :
uko wapi
2026-05-01 07:22:45
1
joeyard7 :
Kuna CT 125 boxer Nilibadilishia Plug,Valve,Adi coil lakini bado Ilikuwa na mis yaani Kila kitu yenye tunashuku tulibadilisha lakini hio mis haikuisha hio pikipiki sikuwahi ielewa kama fundi
2026-04-15 19:44:48
2
Trustgod Ngowo :
yenyewe bike yangu inaingia miss ikizima apo kuwasha ni changamoto na apo plug mpya cableta mpya mafuta full lakin inamiss na inschukua muda kuwaka tena
2026-04-23 15:15:11
1
WANYAU_OG :
mi kidogo nishishe engine kabsa na pikpik ina miez 5
2026-04-13 16:34:56
2
spannerboi68 :
ningependa uongelelee boxer HD shda ya miss ata ubadlishe plug
2026-04-19 09:10:42
1
BaNtu Soul :
Fundi mimi yakwangu ina miss hasa kwenye mlima inakua kama inashitukashituka hivi gear ikiwa inaishiwa nguvu
kwenye baadhi ya milima inazima kabisa
2026-04-13 16:24:20
1
@OFFICIAL~Mtakatifu :
gepu linatakiwa size gani
2026-04-16 17:19:08
1
MAHENGE TRONICS :
kwa nn usikatoe kabisa
2026-04-13 17:42:27
1
Kevin Kevin :
🥰
2026-05-18 12:25:44
1
JR TZ ♪v(*'-^*)^☆ :
😂
2026-04-28 06:15:32
1
To see more videos from user @doctorpikipiki1, please go to the Tikwm
homepage.