@soujulianatoledo: A respiração funciona melhor **antes ou no início**, durante a crise podemos combinar: - **Movimento físico leve:** caminhar, balançar os braços ou apertar uma bola de borracha ajuda a gastar adrenalina acumulada. - **Ancoragem sensorial:** tocar algo frio, ouvir música calmante, sentir texturas — traz o corpo de volta ao presente, inalar vick ou aromas mentolados. - **Palavras curtas de segurança:** repetir mentalmente “Estou seguro, isso vai passar” ou mantra curto ajuda a orientar o cérebro. - **Respiração apenas como suporte:** não como principal ferramenta, mas combinada com ancoragem ou movimento. ❤️ sempre tenha uma pesso SOS crise. Para te ajudar a acalmar com um abraço, palavras de conforto e respiração profunda JUNTO com vc. O ideal é ANTES DE TER CRISES tratar a causa raiz. Agende sua consulta: (11)9.1793-6420 #ansiedade #medicinaintegrativa #intestino

Dra Juliana Toledo 🧠 💩
Dra Juliana Toledo 🧠 💩
Open In TikTok:
Region: BR
Monday 13 April 2026 23:04:00 GMT
1533
62
0
6

Music

Download

Comments

There are no more comments for this video.
To see more videos from user @soujulianatoledo, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

سلام عليكم اخوان انا حالتي المرضيه مو ذيج الزود ويمكن اليوم وياكم باجر مفارقكم كل واحد يشوف ويقرأ كلامي ضع في اذنك كلامي لا تظلم شخص تحبه حتى لو جنت تغار علية انا حنت اغار على شخص حبيته بكل مشاعري وبكل صدق نييه ولاكن كان مني في الغيره العصبيه و كلام يخرج مني وقت الغضب انا لا ابرر نفسي و ابرر افعالي لا انا من اول يوم عصبت على شخص حبيته ما كان مني العصبيه ولاكن كان قد يجيب الكلام الحلو نفع اكثر من العصبيه و مو مره وحده لا اكثر من عشر مرات وجنت اوعد و ما جنت محسب حساب للوعد مالتي ولاكن في اخر مشكله انا قسيت ويها كلش اهوايي وجرحتها لو جارح ايدي اطيب وجرحها مايطيب انا ندمان اخوان ندمان و جنت احسب عادي هذا الكلام ولاكن بعد تدهور حالتي بسبب اهواي اشياء مثل التدخيل و السهر وقله النوم و اكل متقطع ادركت ان الله تعالى يعاقبني على فعلي الها و ما اعرف شنو اسوي و شنو اكول الي بداخل كلبي اكثر من كلمات و اسئل الله تعالى ان تعف عني و ان تسامحني لان كانت افعالي عن جهل و تقصير و خير الكلام ماقل
سلام عليكم اخوان انا حالتي المرضيه مو ذيج الزود ويمكن اليوم وياكم باجر مفارقكم كل واحد يشوف ويقرأ كلامي ضع في اذنك كلامي لا تظلم شخص تحبه حتى لو جنت تغار علية انا حنت اغار على شخص حبيته بكل مشاعري وبكل صدق نييه ولاكن كان مني في الغيره العصبيه و كلام يخرج مني وقت الغضب انا لا ابرر نفسي و ابرر افعالي لا انا من اول يوم عصبت على شخص حبيته ما كان مني العصبيه ولاكن كان قد يجيب الكلام الحلو نفع اكثر من العصبيه و مو مره وحده لا اكثر من عشر مرات وجنت اوعد و ما جنت محسب حساب للوعد مالتي ولاكن في اخر مشكله انا قسيت ويها كلش اهوايي وجرحتها لو جارح ايدي اطيب وجرحها مايطيب انا ندمان اخوان ندمان و جنت احسب عادي هذا الكلام ولاكن بعد تدهور حالتي بسبب اهواي اشياء مثل التدخيل و السهر وقله النوم و اكل متقطع ادركت ان الله تعالى يعاقبني على فعلي الها و ما اعرف شنو اسوي و شنو اكول الي بداخل كلبي اكثر من كلمات و اسئل الله تعالى ان تعف عني و ان تسامحني لان كانت افعالي عن جهل و تقصير و خير الكلام ماقل
Assalaamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Yah: Maumivu na Maswali ya Waislamu Kuhusu Kuondolewa kwa Sheikh Walid Alhad Kawambwa katika Uongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Mufti wa Tanzania, Kwa heshima kubwa, naandika barua hii kwa niaba ya hisia za Waislamu wengi ambao mioyo yao imejaa masikitiko kufuatia kuondolewa kwa Sheikh Walid Alhad Kawambwa katika nafasi yake ya Uongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam. Mheshimiwa Mufti, maumivu yetu si kwa sababu tu tumeondokewa na kiongozi, bali tumepoteza mwalimu aliyekuwa akituongoza katika njia ya kumrudia Mwenyezi Mungu. Sheikh Walid alikuwa ni mtu aliyewahimiza watu kushikamana na Qur'an, Sunnah, maadili mema, umoja na kumcha Allah. Kwa wengi wetu, alikuwa sababu ya kuimarika kwa imani na kurejea kwenye ibada. Kilichotushangaza zaidi ni kuona hatua hii imechukuliwa bila sisi, kama umma, kupewa maelezo yenye kuondoa sintofahamu. Hali hii imeacha maswali mengi kuliko majibu. Ikiwa shutuma zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii ndizo zilizopelekea uamuzi huu, tunaomba kufahamu: Je, zilifanyiwa uchunguzi wa kina na kuthibitishwa? Je, haki ya kusikiliza pande zote ilizingatiwa? Na je, hiyo ndiyo njia bora ya kutatua jambo zito lenye kugusa hisia za umma mzima wa Waislamu? Mheshimiwa Mufti, tunaheshimu uongozi wa dini yetu na tunaamini katika misingi ya haki na uadilifu. Ndiyo maana, licha ya maumivu makubwa tuliyonayo, hatukuchagua njia ya vurugu wala uchochezi. Uislamu umetufundisha subira, hekima na kuheshimu viongozi wetu.  Hata hivyo, utulivu wetu usitafsiriwe kuwa hatujaumia. Ukweli ni kwamba tumeumia sana. Kinachoendelea katika mitandao ya kijamii, ambapo maelfu ya watu wanaeleza maumivu yao na hata kuunda makundi mbalimbali yanayobeba jina la
Assalaamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Yah: Maumivu na Maswali ya Waislamu Kuhusu Kuondolewa kwa Sheikh Walid Alhad Kawambwa katika Uongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Mufti wa Tanzania, Kwa heshima kubwa, naandika barua hii kwa niaba ya hisia za Waislamu wengi ambao mioyo yao imejaa masikitiko kufuatia kuondolewa kwa Sheikh Walid Alhad Kawambwa katika nafasi yake ya Uongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam. Mheshimiwa Mufti, maumivu yetu si kwa sababu tu tumeondokewa na kiongozi, bali tumepoteza mwalimu aliyekuwa akituongoza katika njia ya kumrudia Mwenyezi Mungu. Sheikh Walid alikuwa ni mtu aliyewahimiza watu kushikamana na Qur'an, Sunnah, maadili mema, umoja na kumcha Allah. Kwa wengi wetu, alikuwa sababu ya kuimarika kwa imani na kurejea kwenye ibada. Kilichotushangaza zaidi ni kuona hatua hii imechukuliwa bila sisi, kama umma, kupewa maelezo yenye kuondoa sintofahamu. Hali hii imeacha maswali mengi kuliko majibu. Ikiwa shutuma zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii ndizo zilizopelekea uamuzi huu, tunaomba kufahamu: Je, zilifanyiwa uchunguzi wa kina na kuthibitishwa? Je, haki ya kusikiliza pande zote ilizingatiwa? Na je, hiyo ndiyo njia bora ya kutatua jambo zito lenye kugusa hisia za umma mzima wa Waislamu? Mheshimiwa Mufti, tunaheshimu uongozi wa dini yetu na tunaamini katika misingi ya haki na uadilifu. Ndiyo maana, licha ya maumivu makubwa tuliyonayo, hatukuchagua njia ya vurugu wala uchochezi. Uislamu umetufundisha subira, hekima na kuheshimu viongozi wetu. Hata hivyo, utulivu wetu usitafsiriwe kuwa hatujaumia. Ukweli ni kwamba tumeumia sana. Kinachoendelea katika mitandao ya kijamii, ambapo maelfu ya watu wanaeleza maumivu yao na hata kuunda makundi mbalimbali yanayobeba jina la "Team Walid", ni ishara ya wazi ya namna Sheikh Walid alivyogusa maisha ya watu wengi. Heshima na mapenzi hayo hayakulazimishwa; yalijengwa na tabia yake, elimu yake na namna alivyowahudumia watu. Aidha, umati mkubwa uliojitokeza katika msikiti wake siku ya Ijumaa baada ya taarifa hizi ni ujumbe wa kutosha. Ilikuwa ni picha inayoonyesha kuwa Sheikh Walid alikuwa kipenzi cha watu wa rika zote; watoto, vijana, watu wazima na wazee. Hata wasiokuwa Waislamu walimheshimu kwa hekima, maadili na namna alivyowasilisha Uislamu kwa upole. Wapo ambao walivutiwa kuujua Uislamu kutokana na mwenendo wake. Mheshimiwa Mufti, hatuandiki barua hii kwa lengo la kupinga mamlaka yako wala kuingilia maamuzi ya taasisi. Tunaiandika kwa heshima kubwa, tukiomba uwazi na maelezo yatakayouondolea umma mashaka. Tunaamini kuwa uwazi hujenga imani, huimarisha umoja na huondoa fitna. Tunakuomba, kwa niaba ya Waislamu wengi wenye maumivu, utupe sababu zilizo wazi na zenye mashiko kuhusu uamuzi huu ili umma upate kuelewa na kuendelea kuwa na imani na uongozi wake. Mwenyezi Mungu atujaalie sote hekima, uadilifu na umoja katika kuiongoza na kuilinda dini yetu. Wassalaamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakaatuh. #creatorsearchinsights #trendingphotos #viral1millionviews #tanzaniantiktok🇹🇿 #foryoupage

About