Nimelia sana sijawahi kupata mapenzi ya mama alinikataa nikiwa na siku 40
2026-04-21 05:08:27
130
Akhtar :
Nimejikaza Mara nyingi ila leo nimelia tena Allah ammrehem Mamangu kipenzi na waislam wote waliotangulia mbele za haki
2026-04-21 05:08:33
147
Babaake :
Mashallah kwa hii Nyimbo Allah awarehemu wazazi wetu awape makazi mema na walio hai awape Afya Njema Furaha na Mwisho Mwema😭
2026-04-21 04:57:09
53
aminata :
Allah awarehemu wazazi wote waliotangulia mbele za haki😭
2026-04-22 08:22:39
53
Farheen🙂🤍💧✨️ :
roho inaniuma sana mama yangu ananipenda nikiwa na pesa nikiwa Sina ananitolea maneno ya laana ewe mungu mimi kama Kuna ninapo mkosea mama yangu mungu naomba unisamehe mimi tafadhali 🙏😭🧎♀️
2026-05-10 21:01:02
8
Diama abdou :
I don’t understand but I m feeling to crie
2026-04-30 20:58:33
7
Rashford :
Mungu awape umri mrefu mama zetu InshaAllah ❤️
2026-05-02 08:00:14
13
Najma Rashid :
jamani mliopoterewa na wazazi wenu mungu awapenguvu mm ninae Lakin nahsi kulia😪