@dr.domi1: 1. Maambukizi ya bakteria H. pylori Hii ndiyo sababu kubwa zaidi duniani Bakteria hawa huishi kwenye ukuta wa tumbo Husababisha vidonda kwa kuharibu kinga ya tumbo dhidi ya asidi 2. Matumizi ya dawa za maumivu mara kwa mara Dawa kama: Ibuprofen Aspirin Hupunguza kinga ya tumbo na kuruhusu asidi kuleta vidonda 3. Asidi nyingi tumboni Mwili ukizalisha asidi nyingi kuliko kawaida Huchangia sana hali kama Acid Reflux Husababisha ukuta wa tumbo kuchomeka 4. Msongo wa mawazo (stress) Stress huongeza uzalishaji wa asidi Pia hupunguza kinga ya mwili 5. Uvutaji sigara na pombe Sigara huchelewesha kupona kwa vidonda Pombe huongeza muwasho#tiktokkenya #creatorsearchinsight #tiktoktanzania🇹🇿 #tiktokuganda🇺🇬🇺🇬🇺🇬 #foryoupage