@foodloverstz: Wapenzi, hakikisha huu wali haukosi kuupika. Ni mtamu halafu mtamu tena ๐ Viungo vyote vya kupikia mnavipata @foodlovers_products kwa wauzaji mikoani kote. Kila sauce ya kupikia ina kiungo chake kikavu, unaweza kutumia vyote katika upishi au ukachagua kimoja wapo. Bei Zetu:- โ๏ธ SAUCE ZOTE Tsh. 10,000 /= โ๏ธ VIUNGO VIKAVU Tsh. 5,000 /= โ๏ธ PILIPILI Tsh. 5,000 /= Wasiliana nasi kwa 0677009477 ( WhatsApp /Call) ili kupata uwakala mahali ulipo au kupata bidhaa zetu kwa bei za jumla. @foodlovers_rice #utamuguaranteed
nilikuwaga naomba dstv watuletee kipindi cha mapishi tena mpishi awe huyu bahati mbayawameleta mwingine jamani uwii๐ญ.food lovers nakupenda unajua kupika๐ฅฐ๐ฅฐ
2026-05-09 14:53:11
4
its me kay :
spices zinapatikana wapi kwa dar guyz
2026-04-22 14:48:51
2
Fatima Hamis kingube :
hiyo shatashata naipataje nipo mbweni maan nimeielewa
2026-04-22 18:14:53
1
gee collection :
Mbona hujibuuu jmn tunauliza spice tunapata wap
2026-05-08 16:11:05
0
Miss_Nyazowo :
Ivo viungo vyako vinapatikana wapi?
2026-05-03 20:35:37
1
Mary Konga :
moshi napatia wap
2026-05-02 10:08:03
1
Dcutey :
Wakala Dodoma jmn please
2026-04-24 17:18:53
0
To see more videos from user @foodloverstz, please go to the Tikwm
homepage.