@radiographer_noah: Kumsikia mtoto akicheza tumboni – hatua kwa hatua 🔹 Wiki 0–16 [miezi 4] (ikiwa ni mimba ya kwanza) Ni kawaida kabisa HAUMSIKII mtoto akicheza tumboni. 🔹 Wiki 17–20 [miezi 5] Mama wa mimba ya kwanza huanza kumsikia taratibu (kama vitu vidogo vidogo). Kwa waliowahi kuzaa, wanaweza kusikia mapema kidogo. 🔹 Wiki 20–24 [miezi 6] Mtoto huanza kusikika vizuri zaidi, lakini bado si kila wakati. 🔹 Wiki 24–28 [miezi 7] Mtoto anacheza lakini si kwa mpangilio maalum. Kuna vipindi vya ukimya (analala/anapumzika), lakini mama anapaswa kumsikia mara kadhaa kwa siku. 🔹 Baada ya wiki 28 Mtoto anapaswa kumsikika kila siku kwa mpangilio fulani. 👉 Akipunguza Kucheza au Ukawa Haumsikii kwa muda mrefu (kama masaa 10–12) → nenda hospitali(Utapima Ultrasound Kuhakikisha Mtoto Yupo Sawa) au Wasiliana na daktari siku hiyo hiyo. ‼️⚠️KUMBUKA⚠️‼️ Maelezo haya ni kwa ajili ya elimu tu na kuongeza uelewa. Si maelekezo ya kitabibu. Ni muhimu kufuata ushauri wa daktari wako au kliniki. #mtoto #kucheza #ultrasound #trendingvideo #aitiktok

Radiographer Noah
Radiographer Noah
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 23 April 2026 16:41:25 GMT
570891
19548
327
2833

Music

Download

Comments

tekon.insurance.s
Tekon insurance services :
😂😂 mi wangu anajiamulia mambo wakati nalala. Ye ndo anaaanza kucheza sa sijui anasikiaga miziki ya diamond kwenye bar ya jirani😂😂😂😂
2026-07-15 06:59:00
2
smoochy107
Smoochy :
Hebu cheza huko usinitie presha mimi😊
2026-04-24 05:43:09
97
mr.kissandkill
Fred Tito :
ni AI au?
2026-05-26 09:10:58
3
fridaprosper8
Frida Prosper :
yaani naangalia hii video nae ndo namsikia sa hizi😀😘
2026-04-24 10:53:05
81
kwetuteetourandsa
HELDEN9804@ :
basi sawa acha niache pressure 😁
2026-04-24 06:04:47
41
scouserjr
edboy :
Sidhani kama kiumbe kilichokufa tumboni kinaweza kukaa zaidi ya wiki 2 tumboni
2026-07-12 14:25:30
1
nupty_collection
NUPTY_🦋🦋 :
unasababish nitaman kitoto na me😇🥰
2026-04-23 18:46:37
48
user480624630
joh :
😂😂😂nilipiga ultra sound Jamani eeh
2026-06-12 13:14:11
1
leah62011
🧑🏾‍🍼joviny momy🧑🏾‍🍼💞 :
🤣🤣🤣🤣 nimecheka mpaka nimelia
2026-04-23 22:15:16
18
user7656297843336
mishy~insrnc :
ety nikiwa tumboni Nina mambo mengi yakufikilia😂, na kumbe mnachukua ultrasound 😂😂😂
2026-06-13 18:18:35
1
graceeliabu467
Grace Eliabu :
Usipo cheza mwenzio sina Amani mwanangu
2026-06-11 14:47:49
1
07fibby
fibi :
doctar kuna post ulipost nikasema namwagika maji mimba ya miez 7ukasema niwai osptal now nipo namtoto japo ninjit asante sana kwaushaur mzur.🥰🥰
2026-04-24 02:07:37
19
yusrahcute867
Sagittarius queen ♐️🦋🔐 :
jaman m nina miez 6 saiv lakin hizi siku 2 namsikia anacheza kwa mbali sana je ni kawaida
2026-04-28 20:25:46
7
user5032272826544m
user5032272826544,,mummie 🌹 :
mashallah
2026-05-26 22:16:44
1
2003samrah
samrah Ally 🦋🧑‍🌾 :
Jamn mwanangu miee ☺️☺️😂😂
2026-04-24 06:33:36
8
user6578701681091
Habibul ummah ❤️ :
Ai jamn 😭
2026-05-10 06:49:40
1
nadyamsigara2
nadya :
nilikua nikiona hachez nakunywa chai ya moto anaanza kucheza
2026-04-24 14:25:08
8
user2396749187158
Beatrice :
unakuwa unafikiria nn mwanangu wakati hulipi hata kodi jmn
2026-04-28 20:09:43
6
shamacre3
Shamacre🦋 :
Masaa kumi yote hadi 12 anapumzika nini kwa mfano?😅😅
2026-04-23 17:41:09
7
fainessangatiktok
fainess😘 :
iv hiz video zangu za utoto umepata wap maana zisambaa sana🥰🥰
2026-05-24 15:57:28
3
ashphify
Ashphify# :
Nampend huy mtot jmniiii❤️❤️❤️😂😂😂😂
2026-05-05 08:15:49
1
witnessjohn507
Witney :
jmn pumzika mtot
2026-05-27 09:03:40
2
tiffah.world
Tiffah world 🌹 :
hyo mikono sasaanavyoifanya😂 me hoi apo😅
2026-05-26 12:54:00
1
officiallpretty
🙂FINE GIRL 💕 :
10/10
2026-04-28 10:55:56
0
rosemarryyahaya
ROSEMARRY YAHAYA :
hhhhhhhha😂
2026-04-25 10:09:15
1
To see more videos from user @radiographer_noah, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About