@emmanuel.page5: Kesi ya salum seleman Vs R…hukumu imetoka tarehe 23/4/2026

EMMANUEL🌎
EMMANUEL🌎
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 25 April 2026 05:28:53 GMT
24812
1906
47
16

Music

Download

Comments

_de_hotice
Isaac De Hotice :
😁😁😁nimecheka sana ety Salum seleman alikuwa ni master mind 🙌🙌
2026-05-02 11:01:09
7
ilovethistiktokclip
Willy Willy :
leo #hatujatikisa mkuu so sad
2026-06-24 07:38:35
0
fresh.smoothie4
® :
Saivi ni S. 131
2026-06-18 21:07:24
0
ndombafurnitures
ndombafurnitures :
ila seleman🙌🙌🙌🙌🙌
2026-04-25 09:01:58
5
tripleggggggggggg
triple g :
hii ni mahakama kuu kigoma msomi
2026-04-29 03:13:46
3
stevenkiss255
Son Of Africa 🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇷🇼 :
elimu nzuriiii🙌🙌
2026-04-25 08:33:03
5
alifastationary
Alifa stationary 😂🎁🍻💰 :
habar mfano nilinunua kiwanja na mwanasheria alizibitisha kwa stemp na sikumalizia pesa nilipo Kuja kunalizia pesa wale nilio wapa pesa hawapo na kiwanja na nyumba kumbe wamechukulia mkopo wa nyuma hiyo kumbe walikua na nyaraka feki ambayo hati ya manunuzi ilikua feki ila mm sikutaka majiran wawepo maana hata muuzaji alikataa kua hataki kufanya tangazo kwenye jamii na mm nilimuamin. mwanasheria alipo uliza sana kuhusu nyaraka za manunuzi nilimwambia so muhimu kumbe nilikua napigwa nifanyeje
2026-06-20 15:41:23
1
venocyber
venocyber :
sele
2026-04-27 12:48:48
1
chifupromise
chifupromise :
vp kuhusu madhala nitayoyapata ya kumwekea mzamana mtu na akatoloka
2026-06-08 20:18:37
0
user13425826866975
user13425826866975 :
nakukubali sana
2026-04-26 21:27:30
0
master.informer
vitalis lington :
appreciate
2026-04-25 16:04:16
1
shabararashabani9
shabararashabani9 :
nakubali
2026-05-03 11:15:38
0
fresh.smoothie4
® :
Enlight me, waliwezaje kumfikisha herezani bila kufikishwa kwanza mahakaman, ile form ya order ya kumwagiza bwana jela ampokee mfungwa waliitoa wap maana hyo ndio inayoelekeza huyo mtu afanyweje huko jela
2026-06-18 21:10:51
2
frankmhema
Frank :
kumbe kesi ya ubakaji inadhamana
2026-04-25 12:51:09
5
blaq_one
Blaq :
Associate naomba elezea upande wa wadhamini baada ya Salumu kukimbia, je walikamtwa on behalf ama walilipa fidia ?
2026-04-25 05:44:56
5
user97282550679413
Ahobwile Mwasindikila 🌹 :
kaka mimi nauliza inawezekanaj kesi ikaendelea kusikilizwa wakati defendant hayupo?
2026-05-16 13:30:12
0
wambura530
ba hance :
marwa huyo ni home boy wangu Nilisoma nae drs la kwa1. #RORYA
2026-05-01 13:02:00
1
emmanuelzao
Emmanuel Zao :
Yooote hayo, ni sababu ya upwiru tu!😌
2026-04-25 09:10:52
4
antonzablon
antonzablon :
safi sn Asosieti Naikubali darasa lako❤️... 🤔kaswali..Je ikiwa atajibu Tuhuma akashinda si anaachiwa Huru!?....2. itakuaje juu ya mwaka alioisha-tumikia!?
2026-04-26 15:23:05
2
mr_kawaya
Mohamed Mohamed :
Shout out to Bw.Salumu seleman…Ame TIKISA VYEMA so far 😂
2026-04-25 06:19:33
3
salumsudan
salumsudan :
wakati kesi inaendelea wadhamini walikua wapi
2026-05-14 05:07:51
0
mr.freeinternet
mr.FreeInternet :
Mr.Freeinternet NIMEPITA HAPA
2026-05-19 16:15:46
0
madamcomfort07
madamcomfort. :
na vip kuhusu , vitu vilivyowekwa kama dhamana
2026-04-25 08:47:27
0
ismuuhntana
ismuuhntana🅿️ :
🔥🔥🔥
2026-04-25 06:19:39
0
mendo69776
mendo69776 :
🥰🥰🥰
2026-04-25 05:47:34
0
To see more videos from user @emmanuel.page5, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About