@power_media08: BONDIA IBRAH CLASSIC ALICHOKIFANYA UGENINI KIMEWAPUNGUZIA MAUDHI/HASIRA YA UBUNGO KWA WADAU WA NGUMI TANZANIA? Hii inaitwa Double Impact kwa mara ya kwanza nchi Tanzania bondia kushinda mikanda hii na kurudi nayo nyumbani haijawahi kutokea. WBC International na WBC International Silver ukiwa na muendelezo wa hatua inayofata Ibrahim Class anaweza kuwa mtanzania wa pili kuchezea mkanda wa dunia kati ya vyama vinne vikubwa. Hongera Ibrahim Class kwa kuliheshimisha Taifa. Kumbuka once a champion, always a target watu watahitaji kucheza na wewe kutokana na mikanda uliyonayo kwasababu hiyo ndio njia ya kufika juu na wao wanahitaji kufika juu na njia unayo wewe. Unahitaji kukaza kuongeza juhudi na maarifa ili kuweza kupambana katika level ya juu. C&P