@branding.danny: Wakuu nisikilizeni vizuri, TUNATOBOA, hii ni Vita na haturudi nyuma, mimi nawaambia ukweli, UMASIKINI sio kitu cha kuchekea, UMASIKINI HAUTOKI KWA MAOMBI. Aisee wakuu tupige kazi, kila siku tuna ambiana ila hatusikilizani, Wewe hakuna mtu atakuokoa, Juhudi zako mwenyewe zitakuokoa. Pia acheni kukaa sana Dsm, Haya 🤷🏻♂️ NB: Usifanye business mwenyewe, Ukuaji na mafanikio yapo kwenye Strong business Partnership, hakuna mtu anatajirika kwa kufanya business mwenyewe (Fanya tafiti) JESUS IS KING 👑 #MWAKAWAVITA
brandingdanny
Region: TZ
Sunday 26 April 2026 15:11:13 GMT
Music
Download
Comments
Ikaben :
Hapo ndipo mindset za watu zinapo fail. Focus on being Wealthy, RICH is temporary Wealth is almost permanent.💪🏻
2026-04-27 08:46:20
29
Lily Barbie💞 :
izo searching bar ni vip anyway natafut kaz ☺️
2026-04-29 16:09:40
2
Ester Leonald :
kweli kaka nakufatilia sana
2026-04-26 15:31:25
20
Somebody☺️ :
natafuta comment inayosema ni nani yupo tayari kupata patnership muaminifu wa kuanza nae biashara nilicho ona ni
1. Mwenye mtaji hana idea ya biashara
2. asie na mtaji ana mawazo ya biashara na namna ya kuendesha
Sijui jipo sahihi na mawazo yangu au ndoto za mchana😁
2026-04-27 08:27:35
6
ie.mma_G🦋 ✨ :
Fact 📌 😊
2026-04-26 15:28:06
8
GrowAura💎 :
mimi ni Binti wa miaka 21 ila kila nikikutana na clip zako bro unanimotivate sana💸🙌🙌, let's Hustle we deserve a good life not bad ,may God bless us 🙏
2026-05-02 04:29:40
2
♥️Amanda♥️ :
I like your spirit
2026-04-28 08:07:52
1
J WaMipaNgO :
Mzeee nakubl sana tune ofsn kwangu mikochen 255SAUNA
2026-04-26 18:25:26
5
AUNTY_GEE_STORE :
na Mungu akubariki sana, B,Danny
2026-06-17 06:48:12
1
Anna Stephano :
me hata usipoongea nakuelewa sana kaka🙌🙌
2026-04-27 08:17:27
5
$@ :
I've alot of idea but I have no idea where to start 😕
2026-05-01 16:35:23
1
Mr Tupatupa Store :
Well said “Acheni kukaa sana DSM”
2026-05-01 13:59:54
1
Ng'wana Moshi🇹🇿 :
kwa heshima sir god ndio kila kitu katika maisha🙏🔥🔥🔥🔥😎🫡💪💪
2026-04-27 17:52:31
3
Dujoxcreatives :
Yes, we are... and let that echo to eternity.
2026-05-01 07:22:50
1
Bubsy Melman🌸 :
Bible🥰
2026-04-30 12:11:09
1
Laccar45 :
bro samahani kama kuna kazi inapatikan nakuomba unisaidie🙏🙏🙏
2026-04-28 16:53:51
2
W a d e :
Sahihi
2026-04-29 11:56:22
2
TEE CLOTHING STORE👗🛍️ :
Ushauri na maneno yako yananitia sana moyo🤲🏻🙏🏽😇❤️
2026-04-28 12:02:36
1
Gee~wara🥰 :
AMIN🙏
2026-04-26 17:09:27
2
piucmasanja :
Chagua kuwa 100% owner wa milion 20 au 60% owner wa 300M
"Mafanikio ni watu "🙏
2026-04-28 13:58:07
3
Emilianee Nay :
kaka naomba nisaidie 10000 ya kula leo
2026-04-28 14:14:52
2
charlz Charles :
Brother nakupataje?
2026-04-26 16:26:08
2
Chila fx📈 :
fact bro💪
2026-04-27 01:27:16
1
suleimanmnyama687 :
oya tuna toboa 🫡🫡🫡🫡🫡🥹🥹
2026-04-27 08:03:19
1
Anna John :
Amina kubwa🙏🙏🙏🙏
2026-04-27 02:45:54
1
To see more videos from user @branding.danny, please go to the Tikwm
homepage.