@majesty96__: _MNARA WA MV BUKOBA_ wa kumbu kumbu ya waliopoteza uhai katika Ajali ya Meli (Mv BUKOBA)… {21-04-1996} katika ZIWA.. VICTORIA Ikiwa miili 185 kutambulika na miili 506 kuto kupatikana _Tuzidi kuwakumbuka_ #zungukamwanza #j2safari #creatorsearchinsight #fyp