@officialvillatz:

Official villa
Official villa
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 28 April 2026 10:03:47 GMT
143404
9936
424
836

Music

Download

Comments

n.a7607
naya🥰 :
kweli kabisa nilimuacha mtu alienipenda nikaenda kwa ninaempenda saizi nanyanyasika nalia kila siku
2026-04-28 18:43:05
138
rhinamomo
Therealcaprinah✨🌸 :
Mungu nilipie kwa woote walioniumizaaa 😩💔🙌
2026-05-30 14:52:20
99
magreth905
Tee✨🥰@ :
Najiungamanisha na haya maneno aki mungu anilipie tu basi ilo ndo ombi langu 🤲🥹
2026-04-28 18:39:14
144
chris_creative_
chris_creative_ :
Mimi I have girl ambaye nilimpenda kwa moyo mmoja mpka kwetu waka mjua yaani yeye kila kitu ni kibaya amenidhalisha mbele ya rafiki zake na kuniabisha mbele ya marafiki zake lakini yeye hajali kuhusu Mimi na Mimi najali kuhusu yeye ila hajali kuhusu Mimi ila naamini IPO siku na hajawai kukosa kitu kwangu ila ulivyosema dada yangu IPO siku tyu
2026-05-29 07:29:54
16
edinagipson
miss black🖤👑 :
mungu kama unanisikia nijibie 😭😭😭🥰
2026-04-28 18:00:51
38
markwelly
user4814166688236 :
Dada mm nimetendwa na rafiki yangu achaaaa nilijitoa sana Ila nilipo kwasasa nisehemu mbayaaaa
2026-04-28 17:50:36
56
msmira070
ms-m.i.r a.🌍☺️ :
🥺Oscar Kalma itakutafuna
2026-04-28 21:11:53
5
manyikazaha
manyikazaha :
dada angu mm nilimpenda mtu na Jina. ataja anaitwa safari ila niliishi nae uzuri na nilikua nina malengo nae ila Malipo yake anakujaniambia kwa sababu sijawahi kukupenda nisiwe muongo ila nikasema Asante tu
2026-05-27 04:49:22
5
tinamichael48
tinamichael48 :
Yaan mathias Mungu akulipe mema nimekutendea nimekupa kazi kwa jasho langu leo umenitoa machozi umenidhalilisha kwa wema wangu wakukufanya upate kazi Mungu najua upo unaona😭😭
2026-04-29 08:08:01
23
keinaavailable15
pure heart👌 :
mm niliwapenda wengi ila wengi ndio hivyo tena,ama ni nyota imezimwa main switch
2026-04-29 10:29:45
9
salmitah17
salmitah :
Mungu shughulika na Yule aliyeniumiza kila anachoshika kianguke, akose Amani, furaha Amen
2026-05-06 17:18:29
6
tirah_120
MISS T🌸 :
huwezi kuongea point na nikunyime like♥️♥️
2026-05-31 07:32:53
14
magrethmakundi326
Gemini Girl 🥰♊️ 🤭😉 :
Mungu wasamehe wale wote walio niumiza🙏🙏
2026-05-31 16:32:11
7
scovisdavies
scoviss :
Namuomba mungu anisamehe man nimemuumiza mwanaume aliekua akinipenda na kunijali Ila nikamuacha bila sababu
2026-04-28 20:33:50
16
miltonkalyembe
Milton Kalyembe :
Najiungamanisha na haya maneno
2026-04-28 20:46:19
9
licvin81
🌸 🍒🧸linnah cherry 🧸🌸🍒 :
mungu naandika nikiwa na maumivu sana sijui nini cha kusema ila kama kuna sehemu mungu nimewah kuwakosea hawa watu bhcy naomb nipate adhabu ila kama hakuna bhcy waumie zaidi ya mimi nilivyo pata maumivu😭😭
2026-05-04 14:20:58
9
user802047817
katuna :
ni kwel dada ni swala la muda tu acha nimuachie mungu yeye ndo mwenye kuhukumu
2026-04-28 20:00:37
8
user9441480369318
Kichuna :
wallahi dada namuomba Allah anilipie yarabby walionisababishia maumivu wote
2026-04-28 20:14:45
9
yuster633
winnie :
amen impige mume wangu apate zito na alienae☺️
2026-04-29 04:36:16
5
qeenenrial4
queen 👸 :
mungu ampe maumivuuu makali ya moyo makali kama aliyofanya yaan dah
2026-04-28 18:50:27
10
honorathageorge
flower 🌺 licious :
dah ctak kuongea nisije nkaanza kulia kwa sauti🥺
2026-04-28 17:15:38
11
user1341762667907
ayoub :
Asante sana mungu akubariki bora umesema ukweli kwakweli wameniumiza sana kwa uchawi mpaka sinahamu
2026-04-29 05:51:15
5
hiyanajuma
hiyanajuma ♍️ :
mungu kama kweli kuna karma basi nilipie kwa hili inshallah
2026-04-28 20:55:55
9
user62200675037280
Dagaro123 :
Yaliyonikuta mimi siwez sahau ila nanuja Mungu atawashulikia tu
2026-04-28 18:44:54
6
thamir015
Thamir :
asante dadangu umesema kweli wataumia sana
2026-04-28 15:20:31
9
To see more videos from user @officialvillatz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About