@mwl_wa_wataalam: Nini mtazamo wako kujenga taratibu au kujikusanya kwanza? Mtaalam ni @BenMwinyi wa VALEC CAPITAL #2026in90days

Revocatus Millambo, Ph.D.
Revocatus Millambo, Ph.D.
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 30 April 2026 07:09:09 GMT
69579
2404
43
104

Music

Download

Comments

user670772603
Denyo :
Whats wrong nkitumia miaka 7 kutengeneza my empire? As long as my business keep running shida iko wapi? Still nadunduliza na mda haunisubiri, energy drains kama una uwezo wakufanya mambo ma3 in a single pharse keep pushing.
2026-04-30 22:13:34
22
grrrzzzz2345
usercfx247 :
Wakati unakusanya hiyo pesa, bei ya kiwanja na tofali zitakua zinakusubiri?
2026-06-03 18:02:56
5
yuzoo424
yuzoo :
hata biashara hufilisika so jitahid kufanya unacho kiamini kwa wakati huo
2026-06-09 06:42:00
0
user1988308527354
Abdallah :
maisha hayaendagi sawa kila afanye anachoona kinafaa mimi kuna jamaa alijenga lakini hajawahi miliki hata laki moja toka kiwanja, sasa unatarajia kwa hicho kipato chake ulitarajia afanye nini ila leo anaishi kwake so kila aendeshe maisha yake hapa duniani wote niwageni so kila afanye anachoona kinafaa
2026-06-04 10:52:58
5
chaxy011
chaxy01 :
Hela yangu unipangie matumizi? Noh
2026-06-03 11:27:26
6
user8763323540435
user8763323540435 :
swali namuuliza yy anaishi kwenye nyumba au kwenye biashara?
2026-06-09 08:11:24
0
bri93526
Bri :
maelezo mengi sana point kidogo.
2026-05-31 22:12:20
5
reggand_
reggan🧸 :
Smart minded🔗
2026-04-30 07:43:33
1
faraja_beauty
Faraja beauty 🦋🦋 :
naelewa sana hii! zaman nlkua kama nyinyi,muimu Kuwa na vitega uchumi vingi
2026-06-08 21:01:57
1
startnow652
Ben Lashes & Nails Studio :
ndio maana nawekeza capital yangu yote kutengeneza biashara zenye cash flow ... goal ni kuhakikisha cash ipo ya kutosha kila siku , siwezi kwenda kupark million 30 while naweza kupangisha nyumba ya 200k huku naanzisha biashara ya kuniingizia hata laki mbili kwa siku
2026-05-11 08:25:38
3
obertonails
obertonails :
Ongea point chapu nataka nicomment niondoke
2026-06-10 12:24:05
0
gfayafayamsechu
gfayafayamsechu :
hapa kaongea sanaaa yan
2026-05-01 16:57:00
1
user6017001203813
psm :
hatuna mengi lakin kwa mm naomba huyo mtaalamu wa uchumi akawe live nitakua na cha kumuuliza kuhusu uchumi huo huo maana wengi tu tunauchua hata kwa kusoma pia.kiufupi hayuko sawa point zake.
2026-06-07 12:13:16
0
user52868110603872
aggy :
mnazunguka tyu
2026-06-05 05:25:01
0
zubedamohamed785
Zubeda Mohamed :
yeye ana nyumba
2026-06-04 20:58:11
0
venancemgosi
venancemgosi :
Jengeni nyumba wakuu msisikikize washauri
2026-06-04 18:17:06
0
erick.ford70
Erick Ford :
OPPORTUNITY COST!!😁
2026-06-03 17:11:49
0
getabahanje
Getaba Hanje :
makazi ni muhim sana, jenga kidogo kidogo huk unaendelea kutafuta. vinginevyo utaishia kupanga
2026-06-12 05:34:59
0
yule.wa.kawaiada
Yule wa kawaiada 0g :
fact
2026-05-22 12:23:28
0
missjacky40
missjacky40 :
Ząb
2026-05-02 20:17:59
0
usertheshiran
the shirani black man :
ukielekezwa nakila mtu unspotea
2026-04-30 18:06:53
9
omarybomani
OB :
incase he don't huko USA watu wanalipia morgae kwa miaka 30 hadi 40,huku mtu kajidunduliza kwa miaka 7 au 10 unaona katumia hatua ndefu guys pleass
2026-05-16 21:53:24
2
karinga91
mussakayunikaringa91 :
nafanya ninacho jisikia bob pesa ni yangu
2026-05-25 10:31:22
1
To see more videos from user @mwl_wa_wataalam, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About