@tangawizipori: Mwanamke ni usafi! Lakini usafi huanzia ndani, sio kwenye manukato unayopulizia nguo zako. ​Kama unatokwa na uchafu wenye rangi, harufu mbaya, au unahisi mwili wako umepoteza msisimko wa asili, huu mchanganyiko ni kwa ajili yako. ​MAHITAJI: 1. ​Tangawizi: Huamsha mzunguko wa damu na kuondoa sumu. 2. ​Kitunguu Saumu (Punje 3): Ni Natural Antibiotic—inaua fungus na bakteria wabaya. 3.​Maji ya Vuguvugu & Asali: Kurudisha nishati na pH ya asili. ​ANDAA HIVII ​Twanga kitunguu saumu na tangawizi, kisha roweka kwenye maji ya moto kwa dakika 10. ​Chuja, ongeza kijiko 1 cha asali mbichi. ​Kunywa glasi moja kila usiku kabla ya kulala kwa siku 5 mfululizo. ​KWANINI HII NI MUHIMU? Mchanganyiko huu unasafisha kuta za kizazi na kuua vijidudu ambavyo vimekataa dawa za hospitali kwa muda mrefu. Utaanza kuona mabadiliko kuanzia siku ya pili. 📌 Huwezi kupata matokeo haya kama tatizo limekuwa sugu njoo inbox

TANGAWIZI PORI  | 📍Mwanza
TANGAWIZI PORI | 📍Mwanza
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 30 April 2026 13:32:04 GMT
224183
4444
128
173

Music

Download

Comments

lily.cruzy8
lily cruzy🥰🥰 :
nimetumia siku mbili tu haruf yote imepotea 🥰🥰🥰 thanky
2026-06-26 08:06:31
3
essie.qa.raphael
Essie Qa Raphael :
Can it affect family planning???
2026-06-23 12:10:08
2
khadija40348
khadija adhey :
mwenye ako na mimba inawezekana
2026-06-26 10:47:06
1
mammymeju
Mammy meju :
fungus ni nn
2026-05-02 09:28:59
5
leokadiastanslaus
Leokadia Stanslaus :
ukiwa period una ruhusiwa kutumia
2026-06-13 19:46:18
1
elizabeth.moriss
Elizabeth Moriss :
naitaka
2026-06-15 17:23:54
0
veronicadaudimuyanda
vee Muyanda :
mwenye mimba anatumia?
2026-06-11 11:54:59
2
naiv122
naiv123 :
mimi niko itching for the last two weeks nitumie nini dear nimeenda hospital but it keeps on re-occur
2026-06-10 12:21:33
2
lareinedu25mai050
lareinedu25mai050 :
Hii ni kiboko my ❤️❤️me hua naitumia sana 👌
2026-05-01 19:56:41
7
aminatah69
aminatah :
na io lemon 🍋 naona hapo
2026-05-02 13:29:50
2
litha2674
litha🤪 :
saf kabisaaaa
2026-05-01 09:24:51
4
officialjaylov
jaylove :
ukiwa period unaruhusiwa kunywa?
2026-06-13 18:14:14
1
elizababy391
nurat 🌹 :
dad nawez.changany.vyote.bila.kalafuu
2026-06-11 08:38:26
2
vmammie.lema
rehemalema :
hii kitu ni balaa nimemtumia siku mbili tu lkn mabadiliko nimeyona nimekula msafi hakuna harufu walla miwasho ful kujiamini
2026-06-06 18:24:49
1
user38441690341036
Salome $ :
usipotumia tumia asali
2026-06-09 14:25:10
1
luckyangelly
Malaika :
Jaman mim nina ushuhuda nayo nzuri sana dear❤️
2026-05-02 13:26:37
4
edina.thobias2
Edina Thobias :
kwaiy natwanga tangawizi na vituguu swaumu mbon naona na limau ila ujasema kz yake nielekez bc
2026-06-12 07:37:45
2
litha2674
litha🤪 :
lakin kama Sina asali nafanyeje ety
2026-05-01 09:31:06
6
veronicayusuph6
Nasrah✨🦋❤ :
shukran sana
2026-05-02 08:32:45
3
charline.kavira39
charline kavira :
Unaniitumiya jee
2026-05-24 17:45:37
1
miss.ahmad007
miss ahmad007 :
naomb dawa y u.t.i
2026-06-11 19:48:45
1
vickyisack
♌😇 :
mimi nafanya bila asali ni nzuri pia
2026-05-05 11:58:42
3
irenejuma073
Hairuni juma073 :
unatumiaje jamani
2026-05-07 16:25:24
1
halimamom29
miss.p 💞🦋💞 :
thanks nitafanya pia
2026-05-11 18:38:32
1
user7618186175077
cutejesca :
🥰🥰🥰 mola akuzudishe maarifa
2026-05-01 15:22:58
2
To see more videos from user @tangawizipori, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About