@studentconnect_tz: ELIMU NI ZAIDI YA CHETI Tumepiga stori na kaka mkubwa kutoka Clouds Media, Farhan Kihamu, na ujumbe wake kwa wanafunzi wa chuo ni mmoja tu: Usikifanye cheti chako kuwa kikomo cha ndoto zako. Dunia ya sasa inatafuta "Value" (Thamani) na sio karatasi pekee. Farhan anasisitiza kuwa kila mwanafunzi ana kitu kikubwa ndani yake—kipaji au ujuzi—ambacho kiko nje ya kile anachosomea darasani. Ni muda wa "kujitafuta" na kuamsha kile kilichojificha. Tazama mahojiano kamili kupitia YouTube channel yetu ya Student Connect kujua jinsi ya kuanza safari yako nje ya taaluma. Link kwenye bio #StudentConnect #FarhanKihamu #Kujitafuta #ElimuNaUjuzi #VyuoVikuu