Namshukuru Mungu kwa huyu mmewangu kila kitu tumeandika majina yote ya kwangu na yake kila kitu cha maana,Gari na kiwanja na nyumba nimajina yetu wote🙏
2026-05-01 14:05:05
78
Samwel Matonange :
ACHA KWENYE UMILIKI FUNDISHA JUU YA NINI UMECHANGIA ILI TUMILIKI PAMOJA.
2026-05-01 14:22:11
41
sarahmichael :
Mungu mpe maisha marefu mume wangu yeye ni muhimu kuliko nyumba nikiwa mwenyewe wala sioni umuhimu wa iyo nyumba wala siwazi ilo
2026-05-19 21:57:56
18
Prince Charming 🏆 :
Ilo Gari ni lako au Ni la Joint Occupancy Share 😁😁
2026-05-02 03:15:00
19
_.itc_zoyah :
Wana watoto wao nje dada ndio mana wanafanya hivyo ili wakiondoka duniani watutengenezee vita na mahawara zao
2026-05-01 17:21:21
23
linda :
Kuna Mimi ananunuaga kimya kimya najuaga akiwa anauza!!!!!🤣🤣
2026-05-02 03:57:22
20
dalali msomi pugu chanika :
good job wakili msomi
2026-06-01 08:08:07
2
Goliath Mfalamagoha :
swali kwako, vip akiandika majina ya watoto?
2026-05-01 16:12:48
18
Sarah :
ok,sorry hizo prove nazotakiwa kuwa nazo kwamba nilichangia mali hizi ni pamoja na risiti na documents zote za malipo?
2026-05-01 10:27:09
21
jasmine milanzi :
alafu kuna sisi tuko wake wawili apo sasa cjui zangu ngapi na mwenzangu ngapi
2026-05-01 14:16:56
11
Alexander Ndolo Kilele :
Please look for your own and put your own money. Focus on your own goals and invest your own money
2026-05-03 16:56:42
8
mom Asha :
je? kwa mfano mimi kabra ya kukutana na mume wangu wa sasa nilisha zaaga watoto wengine nikitangulia kufa mimi je watt wangu watapata chchte?
2026-05-01 16:15:07
6
Ryomen Sukuna :
Mnanivuluga, kwani as long as mmeoana tu, si imeisha hiyo, mali ni 50 by 50
2026-05-01 18:41:58
6
njap :
kwanini mnaanza kupigia hesabu Mali wakati mmeamua kuishi wote? au mpo kwa ajili ya kujimilikisha Mali?
2026-05-04 04:22:48
10
COLLIN BEY :
WE NIDA YAKO INASOMA JINA LA MMEO😅
2026-05-01 21:41:37
7
user86850709853600 :
wanawake tunaumizwa sana kwa upande wa hati
2026-05-02 14:10:53
6
Ruqia Isaac mussa :
mwache aandike majina yake kweny Mali yake nawe ukipata Yako andika majina Yako wanaume wanayo ubinafs sana sana