@adv.witness: #SheriaImerahisishwa #LawMadeEasy #AquilaAttorneys #sheriazandoa

Adv. Witness
Adv. Witness
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 01 May 2026 09:59:34 GMT
428606
11179
524
1518

Music

Download

Comments

jacklina83
Jacklina83 :
Namshukuru Mungu kwa huyu mmewangu kila kitu tumeandika majina yote ya kwangu na yake kila kitu cha maana,Gari na kiwanja na nyumba nimajina yetu wote🙏
2026-05-01 14:05:05
78
samwel.matonange
Samwel Matonange :
ACHA KWENYE UMILIKI FUNDISHA JUU YA NINI UMECHANGIA ILI TUMILIKI PAMOJA.
2026-05-01 14:22:11
41
user7659615581614
sarahmichael :
Mungu mpe maisha marefu mume wangu yeye ni muhimu kuliko nyumba nikiwa mwenyewe wala sioni umuhimu wa iyo nyumba wala siwazi ilo
2026-05-19 21:57:56
18
jairax22
Prince Charming 🏆 :
Ilo Gari ni lako au Ni la Joint Occupancy Share 😁😁
2026-05-02 03:15:00
19
_.itc_zoyah
_.itc_zoyah :
Wana watoto wao nje dada ndio mana wanafanya hivyo ili wakiondoka duniani watutengenezee vita na mahawara zao
2026-05-01 17:21:21
23
linda53628
linda :
Kuna Mimi ananunuaga kimya kimya najuaga akiwa anauza!!!!!🤣🤣
2026-05-02 03:57:22
20
dalali.msomi.pugu
dalali msomi pugu chanika :
good job wakili msomi
2026-06-01 08:08:07
2
goliathmfalamagoh
Goliath Mfalamagoha :
swali kwako, vip akiandika majina ya watoto?
2026-05-01 16:12:48
18
misaravi
Sarah :
ok,sorry hizo prove nazotakiwa kuwa nazo kwamba nilichangia mali hizi ni pamoja na risiti na documents zote za malipo?
2026-05-01 10:27:09
21
jasminemilanzi
jasmine milanzi :
alafu kuna sisi tuko wake wawili apo sasa cjui zangu ngapi na mwenzangu ngapi
2026-05-01 14:16:56
11
alexandarndolo
Alexander Ndolo Kilele :
Please look for your own and put your own money. Focus on your own goals and invest your own money
2026-05-03 16:56:42
8
user87945619339447
mom Asha :
je? kwa mfano mimi kabra ya kukutana na mume wangu wa sasa nilisha zaaga watoto wengine nikitangulia kufa mimi je watt wangu watapata chchte?
2026-05-01 16:15:07
6
ryomen_1111
Ryomen Sukuna :
Mnanivuluga, kwani as long as mmeoana tu, si imeisha hiyo, mali ni 50 by 50
2026-05-01 18:41:58
6
fadhilihamisi0
njap :
kwanini mnaanza kupigia hesabu Mali wakati mmeamua kuishi wote? au mpo kwa ajili ya kujimilikisha Mali?
2026-05-04 04:22:48
10
collinfx3
COLLIN BEY :
WE NIDA YAKO INASOMA JINA LA MMEO😅
2026-05-01 21:41:37
7
user86850709853600
user86850709853600 :
wanawake tunaumizwa sana kwa upande wa hati
2026-05-02 14:10:53
6
ruqia.isaac.mussa
Ruqia Isaac mussa :
mwache aandike majina yake kweny Mali yake nawe ukipata Yako andika majina Yako wanaume wanayo ubinafs sana sana
2026-05-01 20:42:34
6
saybabyx3
saybabyx3 :
Wakili Umependeza 😍😍😍
2026-05-05 12:40:25
0
user94257371736294
[email protected] 93979880 :
dad mim mume wng amenifukuza na tumetafuta wote naomba msaada wa kishelia
2026-05-27 10:16:29
0
mama.dan.decor
MAMA DAN DECOR :
unaongea vixur sana
2026-05-21 06:19:37
0
chiefnandobe
chiefnandobe :
jaman wanawake ni mama zetu lakini inatakiwa tuishi nao kwa akili...
2026-05-26 15:28:32
4
ayzee03
ChickenCurry :
Just started following your videos and page - quite insightful 👏🏻 as there are so many people out there who don’t know the law
2026-05-26 05:42:01
1
user9739258400665
user9739258400665 :
mm huwa naandika jina ya mamangu na kakaangu tu
2026-05-28 16:33:29
0
_.dase
me.___dizaa🧚‍♀️💮 :
mrembo halafu msomi hongera sana nammy🥰
2026-05-28 10:49:20
2
To see more videos from user @adv.witness, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About