hizo space za kotempo kwa baadhi ya mikoa Tz inaweza kuwa ndio makazi na mazalia ya ndege mf Marabou stock, yange yange, na baadhi ya ndege wanaotengeneza vichali vikubwa inaweza kua chanzo cha kuziba mifereji ya maji na kusababisha nyumba kuvuja.
nafikiri bati ikishika kuta kwa "bending style ukutan" bila kuacha space ni nzuri zaidi.
NB nyumba za hidden roof ni nzuri zaidi na inapunguza budget ya mbao na bati.
2026-05-04 12:00:09
7
Golddaddy :
hii ndo nzur
2026-05-01 17:19:59
2
Mwl. Riziki Mtui :
Hii mi nzuri sanaaa
2026-05-01 17:20:51
2
Smart boy :
nakubali kaka
2026-05-04 13:00:13
1
BUPILIPILI :
hii gharama yake kubwa sana mze
2026-05-08 18:24:57
2
officebrandtz :
mmeona hapo juu hiyo plaster ilivyonyooooka kama rula🙌🙌🙌🔥
2026-05-01 21:00:34
2
flowgenious :
mambo ya haiden roof 😂💯😂
2026-05-03 02:01:53
3
Sir. Lukelo Mallumbo :
mitaro haitahitaji water proofing? mimi sio fundi lakini kuna cases naona veranda za kumimina zinashika fungus kwa ndani
2026-05-03 08:48:08
3
ismart electronics :
namba za fund naonba
2026-05-02 01:20:38
3
_dicque88 :
Nyie ni zaidi ya nyie wenyewe 💪💪💪💪 mko vizur
2026-05-01 18:46:06
1
memoo.py :
Sijui kizungu lakini haiitwi hyden banaaa
2026-06-01 16:51:10
0
To see more videos from user @ujenzi.connect6, please go to the Tikwm
homepage.