@yas_tanzania: Tuna kila sababu ya kusema kuwa sisi ndo mtandao wa viwango kuliko wote Tanzania 💛💙 Kwa sababu; 🔹Tuna Minara 4,800+ nchi nzima 🔹 Tuna Minara 1,000+ zaidi ya mtandao mwingine wowote 🔹 Takribani 25% zaidi ya wengine Una sababu nyingine ya kutojiunga na mtandao wa viwango??!! #ZingatiaMtandaoWaViwango #YasTanzania