pepo ngum nyie tufanyenii ibadaaa bilisii yupo nasie hadiii mwishoo ,mungu atulinde ,tufanye yalio ya kher ili tukapate pepo yake inshaallh.
2026-05-02 15:06:41
14
Husna's kitchen :
shekhe wetu tunakupenda sauti yako nzuri ya kughanni kasida.
2026-05-02 13:29:34
17
kuruthum :
mashalhaa baba yetu sheeh walid mungu amjalie aonane namtume wetu muhamad swalalhah aleeh🥰🥰🥰🥰
2026-05-12 19:49:23
9
Erick FiZza Godwill :
Ata mimi ingawa mkristo lakini nimeipenda Sana hii nyimbo
2026-05-04 17:09:47
6
Esha Yusuph :
kuna comment naitafuta humu hata siion njoon basi mcoment nione😅😅
2026-05-02 12:14:37
4
tanaluza :
mashaallah
2026-05-30 12:30:36
1
Rukaiya Mussa Juma :
Sheikh Walid una utulivu wa nafc mashllh ALLAH kakup nafc barid sn,mpka saut yk ina utulivu wa imani ya RAHMAAN 🥰
2026-06-18 12:20:21
1
hadija :
shekhe wetu yupo kila sehemu za idara kulingana na watu wake mashaallah
2026-05-03 06:04:56
7
abuu raahim :
bwamtume uyo eee eeeh allahumaa salli wa wasallim wazid wabaaaarik aleee alaa muhammad waaali muhammad ,am yahsuduwna nnas alaa maa ataahumu llah alaaah