thank you for answering my question may God keep protect our grandmaa
2026-05-02 19:43:21
6
@ :
Rupia mm nnaushuhuda hii inasaidia saana ndani yaweek2 tu mwanangu kimerudi ndani
2026-05-06 09:46:24
1
Jumeirah Ahmed :
bibi mim naomba dawa ya kutoa upepo kwenye kizazi please kama utaiona hii comment nijib please.
yaaan nakua na dalili za mimba lakini nikipima sina.nilienda kufanya ultra sound nikaambiwa nina upepo
2026-05-07 14:08:30
1
Salma :
Mimi nashida na bibi jaman nipe naomba yake kaka nisaidie
2026-05-04 09:21:36
4
mama 6 boys ❤ :
nampenda sana bibi anatufunzq mengi nimeangaika sana kuipata post hiii adi nilitaka nikutafute atuambie dawa ya kitovu ahsant sana ndugu
2026-05-04 09:07:07
2
mimah🌸🌸 :
nampenda bibi jmn, mwambie namsalimia
2026-05-03 06:52:10
3
@NYANGOMA🗯 :
Bibi mungu akupe nguvu
2026-05-15 16:29:40
1
jane jeremiah :
asante sana kaka maana nina hyo changamoto na mtoto wangu
2026-05-03 05:20:19
3
TEE :
mi nampenda bibi wallah 😄😄😄
2026-05-07 06:29:13
1
STEVE CLASSIC WEAR :
bibi ame grow yesu aendelee kumtunza tunampenda na tunamuombea🥰
2026-05-03 07:52:02
2
OfficialJr12 :
nakufollow kwa ajili ya bibi ty, nampendaa sanaa, namkumbuka bibi angu
2026-05-24 15:56:56
1
Steven :
bibi miambili vp aifai ?
2026-05-04 07:04:27
2
🦋Shammy baby🦋 :
ubalikiwe asant San bibi
2026-05-02 16:15:13
1
Abdallah Mbega 🙏🙏 :
family ♥️♥️♥️♥️
2026-05-03 09:02:10
1
Wise Girl :
love you bibi
2026-05-02 19:40:44
0
zashy3114 :
Hii ni kweli mm wangu niliambiwa nimbanie na plasta ni kweli kabisa
2026-06-04 18:15:47
0
Azizi Koningo :
yauzazi
2026-05-19 12:37:51
0
Zuuh Mkilind :
msalimie bibi
2026-06-02 07:37:54
0
Mariam jumma :
bibi MUNGU akutuze
2026-06-01 06:01:26
0
bikezone88 :
Ool
2026-05-23 05:13:33
0
fatuma :
bibi nisaidie mwanangu anatambaa ila usiku analia sana tena sana sina raha