@golezeneluka: to će biti dobro #fyp #balkan #goat

KALU DEPOZIT
KALU DEPOZIT
Open In TikTok:
Region: RS
Saturday 02 May 2026 20:17:18 GMT
38647
5202
30
2671

Music

Download

Comments

vasuilije_2
vasilije :
Bob
2026-05-02 21:32:04
122
matej.brt
matej.brt :
Mile struja (moja svalerka)
2026-05-02 23:22:53
106
lulesprkot
lule :
Miladin PILANA✌️
2026-05-02 23:21:28
44
simonjedanjedini
SimonČeli :
to možeš i sad samo upoznaj dovoljno ljudi na dovoljno čudnih side questova
2026-05-05 23:03:49
31
bogdanbogi7
bogili :
miki bojler tip sranja
2026-06-12 07:10:30
2
waffenl3stra
waffenl3stra :
zvornik🥹🌹
2026-05-02 21:39:15
20
kraljevskicrost
Jožica Kočvarni :
Joso stolar
2026-05-03 09:39:40
8
_ze1o
ze1o :
2026-05-05 06:25:36
1
mahmudbulje
mahmudbulje :
2026-05-04 00:26:51
0
dimitrije7813
Dimitrije :
ili Dimitrije the goat
2026-05-05 05:24:44
2
srpska.geocow.v2
𝖘𝖗𝖕𝖘𝖐𝖆.𝖌𝖊𝖔𝖈𝖔𝖜🇷🇸☦ :
slazem se hahaha 😂😂
2026-05-02 21:15:22
0
milenkovicccc_
Миленковићꒌ☦🏔️ :
joca OTPLATA DUGOVA
2026-05-02 20:24:04
40
leksa3214
aleksa :
joca ŠIPTAR
2026-05-02 20:56:46
30
nutcracker697
️hara :
boban KLADIONIČAR
2026-05-02 20:27:16
23
dmtkvc
Diana :
moj mobilni sada btw
2026-06-13 23:32:16
2
oprostimibrate
🥁 digitalac ᛉ :
petar GRASO
2026-05-26 04:07:00
1
bbratanic2
bbratanic2 :
volim te kalu depozit
2026-05-03 08:23:37
4
itzdariso
D :
bobilni
2026-05-02 21:21:57
2
lanaakozoderovic
Lana :
Never misses
2026-05-03 17:11:11
1
call_me_mr_mama
Mr. Mama :
ja ih i sad memorišem tako. imam 5 miloša, ali zato je jedan miloš brat, drugi miloš drva, miloš pečenjara itd
2026-05-04 12:14:01
0
medak0v1c
ℳ :
@Ⱄⱄ
2026-05-03 14:25:13
0
To see more videos from user @golezeneluka, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya, linawashikilia watu saba kwa tuhuma za kujipatia Shilingi Milioni 81 kwa njia za udanganyifu wa kuwarubuni Vijana 80 kuwa watawapatia ajira ndani na nje ya Tanzania kupitia makampuni ya Q Net na Global Alliance. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga amesema watuhumiwa hao wamekamatwa Alhamisi Mei 14,2026, kwenye msako uliofanywa katika maeneo mbalimbali jijini hapa.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya, linawashikilia watu saba kwa tuhuma za kujipatia Shilingi Milioni 81 kwa njia za udanganyifu wa kuwarubuni Vijana 80 kuwa watawapatia ajira ndani na nje ya Tanzania kupitia makampuni ya Q Net na Global Alliance. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga amesema watuhumiwa hao wamekamatwa Alhamisi Mei 14,2026, kwenye msako uliofanywa katika maeneo mbalimbali jijini hapa. "Watuhumiwa walikuwa wakiwashawishi vijana watoe kiasi cha Shilingi 40, 000 hadi Shilingi milioni 5 kwa lengo la kuwapatia ajira katika kampuni hiyo." amesema Kamanda Kuzaga. Amesema kufuatia udanganyifu huo zaidi ya vijana 80 waliingia kwenye mtego na kukusanywa katika nyumba tofauti maeneo ya Iwambi, Shewa, Isyesye na Iyunga halmashauri ya Jiji la Mbeya. Kamanda Kuzaga amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Willam Hamis, Tyson Lubida, Onesmo Haldphonce, Charles Masanja, Chemka Mwanyanga, Gracia Ephrahim, wote wakati wa jijini Mbeya na Ezekiel Mgogo mkazi wa Igunga Mkoa wa Tabora. "Watuhumiwa walitumia mbinu ya kuwarubuni vijana kutoka mikoa mbalimbali kuwaleta mkoani hapa kwa lengo kuwapatia ajira jambo ambalo sio sahihi na kupelekea kuishi maisha ya shida kwa kukosa huduma," amesema. Wakati huohuo, Kamanda Kuzaga amewaonya vijana kuepuka kutafuta ajira kwa kutakiwa kutanguliza fedha na badala yake watumie mifumo rasmi . "Vijana mnaotafuta ajira msikubali kutoa fedha ili kupata ajira kwani hakuna utaratibu huo na badala yake kutoa taarifa kwa vyombo vya dola ili kujinasua kwenye mitego," amesema. #UhondoTVUPDATES

About