bora nimkute ashajipata jamani jamani mm nilimkuta mme wangu anaishi kwao hakuwa na kazi wala bazi nimevumilia nikasaport leo hii ana nyumba na maisha ni mazur ila mm ananiona kama taka taka hadi natamani afilisike hadi abaki kama nilivyomkuta🥺🥺
2026-05-05 10:58:39
32
Furaha Makallo :
nilianza maisha nayeye alipokuja kupata mie sio mtu mshambaa mie manake sifugi mikucha sivai miwigi sijichubui navaa majuba heee akatumia pesa na malaya kaishiwa na malaya woote wamemkimbia hahhaha ALHAMDULILLAH nina nyota kumbe nikiwepo pesq ipo nikiondoka pesq hakunaaa
2026-05-04 18:50:56
24
Reshmaa cakes :
saw babe nimeelew
2026-05-25 04:57:12
1
SAIDIREITZ🏁 :
assallam alaikum enyi ndugu zangu
2026-05-05 04:59:47
2
Salim Swaleh :
ujumbe wako hauna ukwel kikubwa ni kumuomba mungu akupe mtu wa kukujali na kukupenda na hofu ya mungu aya mengne ni maneno to mutaanza maisha baadae munasumbuana munagawana mali ni Yale Yale to mm nataka mahanadi una maisha yke
2026-05-27 06:39:46
7
🦋mimah🥰 :
Angalau hii inanifariji😔
2026-05-05 14:13:29
3
Abdulkadir Mkubwa :
I’m really appreciated ……Insha Allah
2026-05-05 07:59:45
1
Sazuu59 :
Kweli kbs😳
2026-05-05 09:11:09
2
Thuu🤩N'stone :
haya jichanganye 😁😁
2026-05-05 17:00:49
8
Myhaa626🦋✨🦋❤ :
kwnn tn
2026-05-04 18:06:48
1
silent :
Nani anatk tuanze wote 😎
2026-05-22 17:08:06
1
Saadati :
maashaallaah sheikh wangu
2026-05-18 19:13:23
1
ukhtywaah66 :
Nikweli kabisaaa yaaan,,
2026-05-07 08:12:04
2
@Digo lady 001 :
Hakika
2026-05-04 18:40:05
1
wema mrema :
mmh🥹🥹🥹💔
2026-05-04 20:52:29
1
user3927545328605 :
nikweli
2026-05-17 14:45:19
1
Mshirazy Harith :
kwel kabsa 🙏
2026-05-06 13:11:49
1
user7534747275419 :
hakika
2026-05-07 12:59:48
0
Madam Bugota :
Ndoa haina kanuni ..Muombe Mungu akupe mwenza sahihi .mnaweza Mkaanza wote 0 Mungu akifungulia baraka kidogo tu. Ndio hapo utajua Niko na mtu sahihi au ako jambazi
2026-05-19 14:36:36
1
hamad242me :
ah wee utasema ivo awo hawaelewi ilo😃😃
2026-05-19 11:26:03
0
💞miss kidot🥰 :
sw baby .nimekuelew
2026-05-25 07:54:24
0
Almina Omary :
mhhh Yale yaletu unaweza ukaolewa na mkatafuta pamoja baada ya kujipata anaona ww sio tayp yake tena kwahio nikumuombatu mungu akupe mwenye heli naww hayo mengine anajua mungu
2026-05-04 09:59:18
14
saphiamohamed5 :
hakuna ubora wowote😅tumeanza nao chini,tukala michicha bwasi,baada ya kuvuka mtu anakuona umezeeka anatafuta watoto wenzie wakutumia mafanikio yenu..hellow dear ladies,,,maumivu yakuacha au kusalitiwa na mlioanza maisha ni mazito kuliko usaliti wa mtu ulomkuta Tyr ameshajipanga maisha mwnywe🙌🙌🙌🙌
2026-05-30 19:27:24
1
The mama shop :
Tafuta mweny maisha is better
2026-05-16 17:00:55
2
tamaliyuda :
mmmh kwakweli bora tu umkute kashajipata mm sina hamu
2026-05-09 19:27:11
1
To see more videos from user @saidireitz97, please go to the Tikwm
homepage.