@mwasampetajulious: USIKURUPUKE KWENDA BRELA! 🛑 Usajili wa kampuni siyo tu kujaza fomu, ni kufanya maamuzi ya kisheria yatakayolinda biashara yako miaka 10 ijayo. Ukikosea hapa, utaingia gharama kubwa kufanya marekebisho baadaye. Katika video hii, tumekuchambulia mambo 5 muhimu: Aina ya Kampuni: Kwa biashara ndogo na za kati, Private Ltd ndiyo mpango mzima. Wanahisa: Panga mgawanyo wa asilimia mapema. Uongozi: Amue nani anakaa kwenye Bodi. Mtaji (Capital): Elewa maana ya mtaji ulioidhinishwa (Mara nyingi huanzia 5M - 10M). Anwani Halisi: BRELA wanahitaji Physical Address, siyo P.O. Box pekee. Je, uko tayari kurasimisha biashara yako kisheria? 💼 Share mwongozo huu na mjasiriamali mwenzako! 🚀 #BRELA #UsajiliWaKampuni #SheriaZaBiashara #tanzaniabusiness #wajasiriamali#legaladvice