@ossnu_solar_energy: OSSNU Solar Energy, tunakuletea teknolojia ya hali ya juu na huduma za kitaalamu, tunakufungia mifumo ya nguvu ya jua kwa matumizi ya nyumbani na biashara. Wasiliana nasi leo kwa ushauri na huduma bora: 📞+255 748 377 870 📧 [email protected] 🌐 www.ossnusolrenergy.co.tz #OSSNUSolarEnergy #NishatiSafi #SolarTanzania #HybridSolar #UmemeWaUhakika
nimekuelewa sana.. lakini 3phase meter ikikosa phase moja tuh haifanyi kazi kwa maana hata phase zilizopo output haitoi umeme.. au hiyo huitambui kaka,.. changamoto kubwa ni low voltage kwenye phase, ndo maana ni vizuri kufanya phase balance moja wapo isizidiwe.. au ipoje ?
2026-05-04 17:39:29
5
Aloysius Amir :
unawafunza na njia ndefu sana. usiingize phase zote ndani. tumia phase selector kwa meter box, hata moja ikikata ama mbili, bado nyumba haitakosa moto hata mara moja. kuliko huo mfumo wako.
2026-05-04 16:59:12
5
Willy Julius :
hiyo story yako ni ya low voltage sio ya phes kukosa umeme kwani meter ipo outomatic phese ikikosekana moja meter haitoi umeme kaka
2026-05-05 02:11:19
1
E_19 :
kaka unapatikan wapi
2026-06-05 08:11:09
0
Mudy ngozy :
nimeelewa sana
2026-06-01 18:45:18
0
Tsh :
ok,asnt
2026-05-04 13:31:07
1
D, FIGHTER💪🏻🤛🏻 :
bigg noooo,hio story unayotoa sio
2026-05-08 18:21:13
0
Desmon Othiambo arts academy :
Nzuli sana
2026-05-10 12:30:30
1
yuleboy25 :
broo unajua sana
2026-05-12 10:27:29
0
tavanga :
sasa kama shida ni source
2026-05-06 15:31:09
1
Muttashubirwa Sixbert :
umetisha kaka
2026-05-08 19:08:14
0
Baraka Thabity :
somo Zuri najifunza
2026-05-05 16:13:04
0
rahim :
Kaka kumbe mnafundisha pia namie nataka kujifunza
2026-05-04 16:27:18
2
user702190481806 :
noma
2026-05-05 09:22:56
0
Mohamed :
mhhh
2026-05-05 12:05:41
0
DvJ Manuva :
unajua kaka hadi co poah
2026-05-04 15:11:33
0
Galaxy :
mmmmh
2026-05-05 07:13:49
0
Tsh :
ikiwa ndani kumeweke 3 phase, je Moj ikizimwa nyingine huwa zinafany kazi?
2026-05-04 11:59:48
1
Mr.electric :
somo limeniingia mnapatikana wapi nije nijifunze?
2026-05-04 17:17:28
0
simonsilivester :
asante kk
2026-05-04 16:26:17
0
RAMADHANI BOTEA :
nimekuelewa
2026-06-11 04:49:18
0
Brøther lissu14 :
fact 💡
2026-05-05 06:09:17
0
Michael Kamba :
hata fault inaweza ikarejister overurrent na sio over load tu
2026-05-04 17:36:50
0
Kambale :
Ticha sawa likn hapo iyo fedh nacho jua mm Tanesco ikikata moja tu umeme hauna nguvu hapo
2026-05-05 06:53:47
1
𝐂𝐡𝐫𝐢𝐬𝐬𝟒𝐇 :
Hiki kizaga mekifunga ila kinanguruma hakisukumi maji nisaidien mawazo wakuu👆👆
2026-05-04 20:46:16
1
To see more videos from user @ossnu_solar_energy, please go to the Tikwm
homepage.