@thao.max97: Đồ lam đi chơi lễ chùa sang trọng ♥️#dolamdichua #phapphucdichua #dolam #gaming #thinhhanh

Anna 🎀 (Shop)
Anna 🎀 (Shop)
Open In TikTok:
Region: VN
Monday 04 May 2026 11:34:51 GMT
679
6
0
2

Music

Download

Comments

There are no more comments for this video.
To see more videos from user @thao.max97, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, amewataka wakazi wa Mji wa Mbulu kuachana na tabia za ubinafsi na kuwakaribisha wawekezaji pamoja na wafanyabiashara kutoka maeneo mbalimbali, akisema hali ya kuwafukuza au kuwakatisha tamaa wageni wanaotaka kuwekeza inakwamisha maendeleo ya eneo hilo. Akizungumza katika kikao maalum cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu kuhusu hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2024/2025, RC Sendiga amesema pamoja na halmashauri hiyo kupata hati safi, bado inakabiliwa na changamoto za kiutendaji na maendeleo zinazohitaji kufanyiwa kazi. Amesema aliwahi kuelezwa kuwa moja ya sababu zinazokwamisha ukuaji wa Mji wa Mbulu ni mtazamo wa baadhi ya wananchi kutotaka watu wa nje kuja kuwekeza katika eneo hilo, jambo ambalo linazuia ujio wa mitaji, mawazo mapya na fursa za maendeleo.
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, amewataka wakazi wa Mji wa Mbulu kuachana na tabia za ubinafsi na kuwakaribisha wawekezaji pamoja na wafanyabiashara kutoka maeneo mbalimbali, akisema hali ya kuwafukuza au kuwakatisha tamaa wageni wanaotaka kuwekeza inakwamisha maendeleo ya eneo hilo. Akizungumza katika kikao maalum cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu kuhusu hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2024/2025, RC Sendiga amesema pamoja na halmashauri hiyo kupata hati safi, bado inakabiliwa na changamoto za kiutendaji na maendeleo zinazohitaji kufanyiwa kazi. Amesema aliwahi kuelezwa kuwa moja ya sababu zinazokwamisha ukuaji wa Mji wa Mbulu ni mtazamo wa baadhi ya wananchi kutotaka watu wa nje kuja kuwekeza katika eneo hilo, jambo ambalo linazuia ujio wa mitaji, mawazo mapya na fursa za maendeleo. "Nanukuu nilivyoambiwa, Mkuu, Mara nyingi kukua kwa mji kunataka mchanganyiko wa watu wanaokuja na aidia mbalimbali wawekezaji, miradi mbalimbali ndio mji unakua, Mji wa Mbulu wamewahi kukusanyana wakakusanya hela wakamuondoa mfanyabiashara mkubwa Muhindi alikuwa pale, wanataka wakae peke yao, sasa kukaa peke yenu mji hauwezi kupata vitu vipya, wananiambia kama una roho ngumu ndio utakaa Mbulu lakini kama una roho nyepesi hukai kwa sababu watakufukuza tu.” Aidha, amewataka wananchi kuendana na dira ya maendeleo ya taifa inayolenga kuimarisha ushiriki wa sekta binafsi katika kuchochea ukuaji wa uchumi, akisisitiza kuwa Serikali ina jukumu la kuweka sera, sheria na miongozo, huku utekelezaji mkubwa wa maendeleo ukitegemewa kufanywa na wawekezaji pamoja na sekta binafsi. “Mji unakua kwa kupokea watu mbalimbali wenye mawazo tofauti, wawekezaji na miradi ya maendeleo. Mkifukuza wenzenu mtapata wapi maendeleo? Acheni watu waje wawekeze ili Mbulu iwe kubwa na iweze kunufaika kiuchumi,” amesema RC Sendiga.

About