@madam_leila: Karibuni katika Darasa letu la pili la Online. Hii ni baada ya mafanikio ya Darasa letu la Smart Ladies Master Class. Katika Darasa hili tutakua na mgeni Muhimu na Mwanazuoni @izudin.alwy.moham Darsa hii inatakua ya siku mbili yaani Tar 29 na Tar 30/5/2026. Mada kuu nne zitajadiliwa pamoja na nafasi ya maswali na majibu. Washiriki ni watu wote, Wanawake kwa Wanaume. Nawakaribisha nyote kwenye Darasa letu hili Adhim na Muhimu kwa mustakabali wa Maisha yetu. Kiingilio ni Tsh 50,000/= kwa siku zote mbili. Namba ya malipo ni Lipa kwa Mixx by Yas Namba: 8561947; Jina : Leila Chams. Kwa maswali, maelezo zaidi namna ya kulipa na kujiunga, tafadhali tuandikie kwa namba : (+255) 0757643746 WhatsApp na kwa Simu ya Kawaida.

Madam Leila
Madam Leila
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 04 May 2026 16:52:24 GMT
2974745
163078
1639
14089

Music

Download

Comments

mipango92
mipango :
NIMEKUBALI,,WANAWAKE HAWANA AKILI.
2026-05-04 17:46:52
798
veronicaoyieko4
vee :
halafu sasa kuna mimi hela zangu ndio zinatumiwa
2026-05-04 18:38:35
496
msudan93
D - Msudany 🇷🇼🇹🇿🇰🇪🇺🇬 :
sikuiz hatutaki ligi tena tunawafukuza tu🥺
2026-05-04 21:05:31
206
iamruge
IamRuge😘 :
Jana nilikua na followers 20, leo nimekuta 17 nani kaniunfollow sasa😂😂
2026-05-05 02:42:24
241
fn2025kl2
F . N :
Baadhi ya maneno yako hua yananiponya sana mwenzio kwakweli napenda darasa lako🥰
2026-05-04 19:27:19
125
emmanuel.wafula.k
Emmanuel Wafula Khaita :
Madam Leila I will always keep your word
2026-05-05 05:20:16
2
official_lee82
official_lee82 :
Intelligent woman may Allah guide and protect you.
2026-05-04 19:43:38
127
rebeccamawia1
🦋 Becky🦋 backup 🇰🇪 :
20/20 chap
2026-05-05 07:52:37
12
teertwigah
Hìs prïorīty 😎💫❤️🔐 :
30/30
2026-05-04 20:02:16
12
massy.rich
Massy Rich 🎶🎼🥁🪉 🎻 ♊ :
nimecheka 😂😂😂
2026-05-04 19:10:42
15
minfabiola
Nyabwari :
yayeee😂
2026-05-04 18:58:22
15
fred.fred9610
Fred Fred💫 :
20/20nalipa
2026-05-05 08:24:56
8
momohnutrition
𝗠𝗢𝗠𝗢𝗛 𝗡𝗨𝗧𝗥𝗜𝗧𝗜𝗢𝗡 :
80/80
2026-05-04 21:33:14
14
hallyjohnxon
️ :
10/10
2026-05-04 23:22:23
9
ita_tosh
Ita_Tosh :
Usijaribu hii maneno hapa Kenya.
2026-05-11 11:29:05
6
mikeboss596
Mike Boss :
sasa hii ndio ukweli upo kwa wanawake
2026-05-09 12:44:24
6
babyluucollection
ᵇᵃᵇʸᴸᵘᵘ~ᶜᵒˡˡᵉᶜᵗⁱᵒⁿ💕🌸 :
9/9
2026-05-05 06:44:22
7
innocentwamaniala
Innocent :
100/100
2026-05-07 10:44:25
5
reemismahan.ibrah
Reemismahan Ibrahim :
kweli kabisa madam leila
2026-05-04 18:48:28
12
user5474306988238
Nelson :
Nimepata code.
2026-05-08 09:15:46
7
sumaiya01192
sumaiya :
mmi niko tofauti mbn
2026-05-05 05:53:48
11
kherisamtz
Kherisam Tz :
duuuh
2026-05-04 18:51:28
7
sumbua.wao.001
sumbua wao 001 :
Huyu dada ndio angekua advicer wa mama Samia she have wisdom mashallah she really talk's nicely 🥰🥰
2026-05-09 03:53:15
10
othiqqsoln
othiq :
yan umenisema mm maana nikija nyumbani na furaha inaisha yote
2026-05-05 11:40:26
13
cheedjnr77
Cheedy jnr :
Mnapoandika comments jaribun kuwa wabunifu wengne furaha yetu kusoma comments zenu
2026-05-06 18:30:09
9
To see more videos from user @madam_leila, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About