@carretas.saraiva: O cambão towbar é um produto revolucionário porque abre inúmeras possibilidades pra você que é mecânico, guincheiro, motorista de aplicativo entre outros. Neste exemplar, os mecanismos de fixação utilizados são cintas com catracas que têm alta capacidade de tração e trazem muita praticidade para instalação e transporte. #guincho #cambão #towbar

Carretas Saraiva
Carretas Saraiva
Open In TikTok:
Region: BR
Thursday 07 May 2026 14:16:39 GMT
647588
13389
153
2919

Music

Download

Comments

macibelosp
Sihle 🇿🇦 :
I still trust the dolly
2026-06-20 09:35:05
10
onboostguate
wicho :
2026-05-11 01:41:14
43
mikebosyt
Mike Bos :
How steering works? No steering lock?
2026-05-22 11:17:16
0
nelsonalexochoa
nelson :
eso no sirve se arruina la caja 😏😏😅😅😅
2026-05-10 20:00:50
3
purchases5
По Купки :
2026-05-10 19:04:34
19
jonnydewitz
Jonny Dewitz :
Hier nicht erlaut,!! Bekommt keine Tüf zulassung
2026-05-21 14:59:18
0
bajram.isufi8
Bajram Isufi :
Ist das in Deutschland zulässig
2026-05-16 09:00:24
2
valerocar0
Juan Jose :
Está herramienta está homologada en España?
2026-05-17 21:32:42
0
jos.antonio.huert19
José Antonio Huerta :
ubicación acá en Puebla
2026-05-10 19:53:42
0
onboostguate
wicho :
2026-05-11 01:39:46
6
josuemazacon
Josué Mazacon :
Solo se recomienda en vehículos manuales o de cambios remolcar asi, los automáticos se le puede dañar la transmisión
2026-05-11 23:32:00
4
2pac_1111
Begijon :
это буксир считать или прицеп?
2026-05-11 17:04:59
0
marcelo.alejandro046
Marcelo Alejandro Pulgar Muñoz :
como se llama esa herramienta?
2026-05-10 19:02:08
2
damian_dp4
damian🇿🇦 :
What if the car got no tire in the front
2026-06-03 06:55:54
0
muhktar.williams
🪴🪹 WOODEN PLANTER🪹🪴 :
please give purchasing detais
2026-06-12 18:45:22
1
zekile_rider
⚜️🇨🇵Zekile_Rider🇨🇵⚜️ :
Pas homologué en France
2026-05-18 14:07:37
4
efren7732
efren7732 :
Yo con los del año 90s
2026-06-06 23:55:20
2
dribbz8
Shane :
totally a legal
2026-05-11 03:23:25
0
roberto.palton
robertopalton :
pero esto no es legal en España
2026-05-17 21:47:14
1
luis.vera340
Luis Vera :
interesante
2026-05-10 19:24:37
1
regionaltowing
Mr tow joe :
Very illegal.
2026-05-10 20:49:17
1
andrs.arce.amao
Andrés Arce Amao :
cuanto vale ,donde lo compro
2026-05-10 16:54:38
1
user7352081456155
parientemcd. :
lo nesito porfavor mándame la información
2026-05-10 17:30:08
1
sebastienblandell
Sebastienblandell :
bonjour je serai intéressé par sete apaille
2026-05-17 09:48:18
1
paulopqdbrasil
Paulo Victor DAL🦾⚙️🛠️📝 :
a PRF não implica na Br não
2026-05-09 18:39:07
0
To see more videos from user @carretas.saraiva, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Moto Wateketeza Nyumba ya Vyumba 12, Familia Zalia Kuachwa Bila Makazi ARUMERU, ARUSHA: Familia kadhaa zimepoteza makazi na mali zao zote baada ya moto kuteketeza nyumba yenye takribani vyumba 12 katika Kitongoji cha Sokoni Barazani, Kijiji cha Naurei, Kata ya Kiutu, Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha. Tukio hilo limetokea leo, Agosti 26, 2026, ambapo moto huo umeteketeza kila kitu kilichokuwa ndani ya nyumba hiyo, ikiwemo vitanda, magodoro, vifaa vya jikoni na mali nyingine za wakazi. Kwa mujibu wa maelezo ya mashuhuda, moto huo ulianza baada ya gesi kusambaa ndani ya chumba na baadaye kulipuka wakati kiberiti kilipowashwa. Moto ulisambaa kwa kasi na kushika vyumba vingine vya nyumba hiyo. Mmoja wa mashuhuda, Seselia Safari, amesema alikuwa akiendelea na shughuli za nyumbani wakati aliposikia harufu na kuona moshi ukitokea upande wa vyumba. Alipoona moto ukizidi, alimchukua mtoto wake na kukimbia nje kuomba msaada. Wananchi walijaribu kuuzima moto kwa kutumia maji, huku baadhi wakisaidiana kufikisha mabomba eneo la tukio, lakini juhudi hizo hazikufanikiwa kuudhibiti kutokana na moto kuwa mkubwa. Baadhi ya waathirika wamesema wamebaki bila kitu chochote na sasa wanahitaji msaada wa haraka kutoka kwa wananchi, wadau na watu wenye uwezo, hasa magodoro, vitanda, vifaa vya jikoni na mahitaji mengine muhimu. Mmoja wa waathirika amesema alipigiwa simu akiwa kazini na kupewa taarifa kuwa nyumba imeungua. Alipofika alikuta mali zake zote zimeteketea, hali iliyomlazimu kuanza maisha upya akiwa pamoja na mtoto wake. Waathirika wameomba msaada wa jamii ili waweze kupata mahitaji ya msingi na sehemu salama ya kuishi baada ya kupoteza makazi na mali zao zote katika janga hilo.
Moto Wateketeza Nyumba ya Vyumba 12, Familia Zalia Kuachwa Bila Makazi ARUMERU, ARUSHA: Familia kadhaa zimepoteza makazi na mali zao zote baada ya moto kuteketeza nyumba yenye takribani vyumba 12 katika Kitongoji cha Sokoni Barazani, Kijiji cha Naurei, Kata ya Kiutu, Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha. Tukio hilo limetokea leo, Agosti 26, 2026, ambapo moto huo umeteketeza kila kitu kilichokuwa ndani ya nyumba hiyo, ikiwemo vitanda, magodoro, vifaa vya jikoni na mali nyingine za wakazi. Kwa mujibu wa maelezo ya mashuhuda, moto huo ulianza baada ya gesi kusambaa ndani ya chumba na baadaye kulipuka wakati kiberiti kilipowashwa. Moto ulisambaa kwa kasi na kushika vyumba vingine vya nyumba hiyo. Mmoja wa mashuhuda, Seselia Safari, amesema alikuwa akiendelea na shughuli za nyumbani wakati aliposikia harufu na kuona moshi ukitokea upande wa vyumba. Alipoona moto ukizidi, alimchukua mtoto wake na kukimbia nje kuomba msaada. Wananchi walijaribu kuuzima moto kwa kutumia maji, huku baadhi wakisaidiana kufikisha mabomba eneo la tukio, lakini juhudi hizo hazikufanikiwa kuudhibiti kutokana na moto kuwa mkubwa. Baadhi ya waathirika wamesema wamebaki bila kitu chochote na sasa wanahitaji msaada wa haraka kutoka kwa wananchi, wadau na watu wenye uwezo, hasa magodoro, vitanda, vifaa vya jikoni na mahitaji mengine muhimu. Mmoja wa waathirika amesema alipigiwa simu akiwa kazini na kupewa taarifa kuwa nyumba imeungua. Alipofika alikuta mali zake zote zimeteketea, hali iliyomlazimu kuanza maisha upya akiwa pamoja na mtoto wake. Waathirika wameomba msaada wa jamii ili waweze kupata mahitaji ya msingi na sehemu salama ya kuishi baada ya kupoteza makazi na mali zao zote katika janga hilo.

About