hakuna inchi katika ulimwengu ambapo zimepishana kwa siku nzima ni masaa2 kwaiyo kama arafa ni siku ya tisa itakua nisiku moja hata kama itachelewa kwa masaa ndani ya masaa24 siku itakua moja y 29
2026-05-15 03:17:06
1
Ostadh bahati :
اللهم اغفر له وارحمه واسكنه الفردوس الأعلى
2026-05-16 12:24:19
3
Abdul m❣️💞💕💖💘 :
mashaallah
2026-05-21 04:41:21
0
Luzzah :
ALLAH amrehemu
2026-05-10 13:04:12
1
zayana815 :
Shekh Allah akurehemu
2026-05-22 05:24:12
1
Rama Kondo :
Allah atufanyie wepesi
2026-05-18 19:53:54
0
Issa Abdallah :
ahsante tumekuelewa vizur.sana
2026-05-20 05:43:19
0
DIMA :
Allahu bariq sheikh
2026-05-13 17:15:25
0
taherajaffer471 :
asante ustath
2026-05-10 10:55:59
0
rukia mnzava :
Allah amrehemu
2026-05-21 07:19:45
0
alikhamisi2 :
Huyu shekhe amefariki au
2026-05-18 15:50:16
0
ibla :
kwaiyo arafa zipo ngap sasa
2026-05-10 08:33:14
1
hanscan hansasha :
takbirrrrrrrrr🥰
2026-05-12 08:29:28
3
@Ally Mmanga :
Allah akbar
2026-05-15 16:45:06
0
Ali mangaa makame :
suala la kulipwa ni la allah sio ww
2026-05-17 10:15:41
0
Father Rashmal :
Arafa ni siku mahujaji wanap simama sisi tunatakiwa tufunge, ishu ipo ivi mnashindwa kutangaza mwendamo wa mwezi kikamilifu
2026-05-12 09:26:20
0
sheikh Ibrahim Said :
mfano magharibi Maka NI saa 1 na wakaona mwezi,, hapo Australia NI 9 usiku.. Yani bado Fajri masa mawili Tu... Je waanze mwezi mpiya au wamalize mwezi 30...
wakimaliza 30 Yani siku ya Arafa itakua siku yapili bada Maka...