@_ntla.20:

𝐛𝐢 ྀི
𝐛𝐢 ྀི
Open In TikTok:
Region: VN
Sunday 10 May 2026 08:42:33 GMT
14376
1333
35
171

Music

Download

Comments

thanhdat1511208
NinhDat🐹 :
Vo a
2026-05-10 14:01:08
0
cuti99997
chan cái đéo gì :
2026-06-12 15:15:25
0
hong.ngc.dip1
Ngoc.Dieppp :
2026-05-10 14:09:02
0
_hehe213
_Emma👤 :
ú ù
2026-05-10 08:50:15
0
user778740802
Nguyễn Hùng :
Nhớ voo
2026-05-31 22:21:21
0
keanhdan1
... :
cuteeee
2026-06-01 07:07:26
0
hin180620
hin180620 :
chúc bn XH nhé
2026-06-01 03:24:35
0
ww07428
I love you :
chuoi ko bn
2026-05-31 16:38:19
0
khuong.1tui
Mạnhh khươngg👺🌊 :
Vo oiii
2026-06-01 08:24:16
0
tdng20012
“Duowq"@ :
🥰
2026-05-15 13:14:37
0
namnhi1234
bé buồn 😔😭🖤🖤 :
xinh
2026-05-30 03:48:53
0
fakecaimaulon
Ng Ngoc Khai? :
bị khóa mõm
2026-05-10 09:18:04
0
truonggianghia1
_gia nghĩa :
😏
2026-05-10 09:35:33
1
din.tng253
FC văn Mới🚩 :
🥰🥰🥰🥰
2026-06-05 05:46:57
0
vhung2107
:)) :
🥰
2026-05-10 14:23:55
0
xauzzaik14
k14? :
🌚
2026-06-04 17:46:42
0
cubo791
Tuananhvu :
😂😂😂
2026-06-10 16:05:45
0
To see more videos from user @_ntla.20, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limemkamata Filbert Philimon (23), mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha St. John’s, kwa tuhuma za kuhusika na tukio la kuchoma moto chumba kilichosababisha vifo vya wanafunzi wawili, Rebeka James na Felister Peter. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Juni 14, 2026, tukio hilo lilitokea Juni 7, 2026 majira ya saa 2:00 usiku katika mtaa wa Kikuyu, jijini Dodoma. Polisi wamesema baada ya kufanya uchunguzi wa haraka na kutumia mbinu mbalimbali za kiintelijensia, walibaini kuwa tukio hilo lilikuwa limetendwa na mtuhumiwa huyo. Alikamatwa Juni 13, 2026 katika Stendi ya Mabasi ya Magufuli, Dar es Salaam, akiwa katika harakati za kukimbia mkono wa sheria. Aidha, mtuhumiwa amekiri kuhusika na tukio hilo na kueleza kuwa alitumia lita mbili za petroli kutekeleza uhalifu huo. Inadaiwa chanzo kikuu kilikuwa ni wivu wa kimapenzi baada ya mpenzi wake, marehemu Felister Peter Francis, kudaiwa kuwa na uhusiano na mwanaume mwingine. Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limetoa wito kwa vijana, hususan wanafunzi wa elimu ya juu, kujiepusha na vitendo vya kihalifu vinavyotokana na hasira, wivu na matumizi mabaya ya dawa za kulevya pamoja na mitandao ya kijamii, na badala yake kutafuta ushauri wa kitaalamu wanapokumbana na changamoto za kisaikolojia na mahusiano. #WEWENIFAMILIA Ripota wa Habari za Mikoani ✍ @kaniki_brown “Endelea kufuatilia #Ripotawahabarizamikoani kwa taarifa sahihi na za uhakika. KWA MATANGAZO YA BIASHARA NA HABARI Follow kwa updates zaidi. Kuwasiliana 📞 0622 732 287 #kanikibrown”
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limemkamata Filbert Philimon (23), mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha St. John’s, kwa tuhuma za kuhusika na tukio la kuchoma moto chumba kilichosababisha vifo vya wanafunzi wawili, Rebeka James na Felister Peter. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Juni 14, 2026, tukio hilo lilitokea Juni 7, 2026 majira ya saa 2:00 usiku katika mtaa wa Kikuyu, jijini Dodoma. Polisi wamesema baada ya kufanya uchunguzi wa haraka na kutumia mbinu mbalimbali za kiintelijensia, walibaini kuwa tukio hilo lilikuwa limetendwa na mtuhumiwa huyo. Alikamatwa Juni 13, 2026 katika Stendi ya Mabasi ya Magufuli, Dar es Salaam, akiwa katika harakati za kukimbia mkono wa sheria. Aidha, mtuhumiwa amekiri kuhusika na tukio hilo na kueleza kuwa alitumia lita mbili za petroli kutekeleza uhalifu huo. Inadaiwa chanzo kikuu kilikuwa ni wivu wa kimapenzi baada ya mpenzi wake, marehemu Felister Peter Francis, kudaiwa kuwa na uhusiano na mwanaume mwingine. Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limetoa wito kwa vijana, hususan wanafunzi wa elimu ya juu, kujiepusha na vitendo vya kihalifu vinavyotokana na hasira, wivu na matumizi mabaya ya dawa za kulevya pamoja na mitandao ya kijamii, na badala yake kutafuta ushauri wa kitaalamu wanapokumbana na changamoto za kisaikolojia na mahusiano. #WEWENIFAMILIA Ripota wa Habari za Mikoani ✍ @kaniki_brown “Endelea kufuatilia #Ripotawahabarizamikoani kwa taarifa sahihi na za uhakika. KWA MATANGAZO YA BIASHARA NA HABARI Follow kwa updates zaidi. Kuwasiliana 📞 0622 732 287 #kanikibrown”

About