@faumathy: #productiveafrica #skillsoverdegree #learningbydoing #ujuzinibiashara

Fauster Mndunde
Fauster Mndunde
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 11 May 2026 05:25:05 GMT
125359
4837
129
704

Music

Download

Comments

motoz112
Mottoz01 :
Mtandao unakuja kuboost ideas ambazo zinakuja kugharim watu bila wao kujua,,, ukiangalia idea ya kununua mazao imekaa simple, lakin coaches mnapotoa wazo au ushuhuda toen na changamoto za hio ideas, mim ni mkulima na nanunua mazao, kumekuw na wimb la watu weng snaa wamekuja morogor kununua mipunga, bila kupata elim sahih, watu wanauziw mipunga mibovu, watu hawajui hata ujazo wa gunia, watu hawajui mpunga up utakupa faid wakat gan, watu hawajui hasara ya kuibiw mipunga, waty hawajui kma ww mnunuzi inabid uwe front,,, kuna changamoto nying ambazo watu wanalia kila msimu huku ila ushuhuda watu hawatoi,, hizi idea za mtandaon tuwe tunazipa na changamoto zake, isije mtu akaingia kichwa kichwa kwa story za mtandaon
2026-05-11 06:55:58
212
obama.sudy
Obama Sudy :
Kila biashara ni nzr na inalipa ukiwa unasimuliwa mind you
2026-05-11 12:43:18
50
ceama2020
I❤️🫂God 🥰 I ❤️@ceama2020 :
Nina ushuhuda mazao yamenifanya nimjengee mama yangu nyumba na nimefanya kwa miaka miwili Tu na nilianza na mtaji wa M3 Tu lkn mwaka Jana nimefika kwenye Ml 12 na mm ni mfanya kazi lkn biashara ni muhimu nifanye
2026-05-12 11:38:11
29
asi4298
7420000000001 :
nina ushuhuda na alieanza na laki 3 2020 na saivi ana mtaji wa milioni 58
2026-05-12 04:46:56
12
johmichael66
johmichael :
uko sahihi dadaangu same to me nilianza na m7 nowdays alhamdulilah niko mbali sana mtaji mkubwa mno mungu ni mwema sana
2026-05-12 15:40:32
16
fim_brayi
fim_brayi😶‍🌫️ :
madam sio kweli huwez kuingia n 5million alfu ukapata mtaji wa 70million sio kweli
2026-05-11 11:21:07
4
rohonitv
Denis Mathayo :
mimi ata unishauri vipi kilimo sifanyi hakinifai ninapata hasara tu
2026-05-11 13:14:44
5
anthony.bilia
Anthony Charles :
hizi ndizo post za maana sasa sio kukata mauno tu
2026-05-11 13:48:59
10
jinan_spares
JINAN SPARES GENERAL :
biashara yangu unaitangaza tena
2026-05-11 12:21:52
5
user2465015243876
Chiku haruna Mohamed :
Kwaiyo dada sisi wenye mitaji midogo hatuwezi kufanya biashara ya mazao Mimi Nina m2 nimejichanga kweli
2026-05-21 11:09:49
3
officialnasra39
4548787875nasra :
waelewe unachokiongea mimi na fanya ninzuli sana 🥰🥰
2026-05-11 14:40:03
4
user5781156275704
viva boy Jr1997 :
jichanganye sasa
2026-05-12 11:32:33
1
user3812912565303
Isaac :
Ukijiamini na content zako hutakua na muda wa kuwaambia watu wa subscribe au walike. watafanya tu. Much love
2026-05-13 10:53:15
2
user13227028500104
user13227028500104 :
the best business.
2026-05-11 06:14:53
6
user9966326671398
Zena h t :
kweli dada uko sahihi
2026-05-13 15:43:20
1
salma.lucas.mngaz
Salma Lucas Mngazija :
hii ni nzuri dear
2026-05-17 18:28:03
1
hadijambonabucha2402
Hadija Mbonabucha :
asante kipenzi
2026-05-13 12:00:09
1
mariaroser
Mary nnko :
awesome 👍
2026-05-11 12:18:00
3
brianaaloyce1
brianaloyce :
alianza lini
2026-05-11 23:25:28
1
rayca4197
Rayca :
Miez sita
2026-05-11 10:55:48
2
user239880443794
saumu V.8 :
asante sanaaa
2026-05-11 14:49:31
1
linusbirondwa
linus :
Big point mama 👏👏
2026-05-11 07:00:45
3
penpoulpambakari
PEN POUL PAMBA KARI🩳👕👖🧢 :
Mh umeaza mbali sn
2026-05-28 19:48:55
1
ahmedingunguti2020
Ahmadi ngunguti :
Asante sana dada
2026-05-23 15:30:21
0
noela3290
Na._ca :
Asante mama
2026-05-11 08:04:45
0
To see more videos from user @faumathy, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About