@gideonimethew: Hakuna mtu amewahi nivumilia katika maisha yangu ya utukutu kama Mama Gideon 🥹 hakuna kitu kibaya sana kama vifungo vya dhambi, ukitaka kukwepa minyororo ya dhambi ni kumpa Yesu maisha yako ndugu #Mama #Shuhuda #mirerani #HabarNjema #Injili
me nakuelewa sana broo nilishawai kupitia iyo kitu ila namshukulu MUNGU sana amina sana kaka
2026-05-15 19:57:06
1
Pastor. DAVID D LANDA :
Mungu akubariki Gidioni
2026-05-31 13:55:17
0
jjmsdjm.90 :
yaani duniani upendo wa Mungu na mama ni vitu muhimu sanaaa...yaani nimekusikiliza mpaka nimelia....nimemkumbuka mama angu sanaaaa
2026-05-12 07:51:55
5
Sarbie.store :
Mungu ashukuriwe kaka🙏🏿
2026-05-11 17:34:14
3
Reny Money :
mutumishiii naomba tuongee hakika
2026-05-11 12:11:52
4
Felista Felix :
Mungu ni mwema kwa Kila mtu
2026-05-11 14:03:30
3
estherphilimoni6 :
Mama ni mwenye upendo uvumilivu
2026-05-11 13:13:55
3
Sam Tz :
DEAR MAMA💖💖
2026-05-11 20:10:28
2
Rose miss you 8🇹🇿-🇦🇪 :
ameni amen
2026-05-11 12:27:37
2
user2435157610722 :
amen
2026-05-15 17:36:58
1
samiya :
Ameen mungu ambariki mama mkwe wangu🙏🏻♥️
2026-05-11 21:22:21
2
Pachinaa :
kwa sisi tuliokuwa tunakuona tukiwa tunakua tunaelewa unaongea nini Mungu amekubadilisha sana kakaangu maombi yangu usirudi hukoo maana mi nilikuwa nakuogopa nikikuona hata njiani😂
2026-05-13 14:42:35
1
lopezjenipher :
Nlikuona ukiubiri kwenye gari na ukasema am fully sihitaji sadaka wala chochote nahitaji usikilize tuu neno la kristo aisee Mungu akubariki sanah
2026-06-03 18:50:47
1
Reuby@mngulwi :
POLE SANA
2026-05-16 07:28:03
1
@luchi 🇹🇿 :
sasa kaka mbona ulisema Mama ako alikuwa anatamani sana uwokoke na ulikuja kuokoka wakati amefariki au mimi ndosikuelewa ile video yako
2026-05-13 17:34:48
0
Eddÿ Cømme lãva :
ulikuwa unaingiya pilisi unakuwa umefanya nini ?
2026-05-11 22:00:59
0
Anonymous.. Mtumishi.. :
hakika, siri ni Yesu sio kujificha kwenye kivuli cha Dini.... na nimegundua kuwa dini zinakengeusha sana watu.....
2026-05-13 06:08:26
2
dopro907 :
🥰🥰🥰
2026-05-12 21:02:20
1
To see more videos from user @gideonimethew, please go to the Tikwm
homepage.