@power_media08: "YUPO MTU NAMPENDA, ANAMILIKIWA NA MTU MWINGINE" - HEMED PHD Maisha halisi: Binafsi yangu naamini katika maisha kuna kundi japo sina uhakika wa ukubwa wake la watu wanaishi na wanawake/wanaume waliowapenda tangu wakiwa katika ujana wa ubarobaro. Lakini kuna kundi lingine la watu wanaoishi na wanaume/wanawake ambao sio waliochipua pamoja katika harakati za kutafuta maisha. Hivyo kundi hili huwa bado wakikutana na marafiki zao wa zamani ata kama awakumbushii kupasha viporo huwa wanatazamana kama kioo na sura ya mtu. Wanatazamana vizuri ikiwa tu awakuachia vidonda na visasi. Sasa hapa Hemed PHD msanii wa kiwanda cha Filamu Tanzania na ni msanii wa muziki anasema "Yupo mtu nampenda na anamilikiwa na mtu mwingine, Na inaniwia vigumu sana ku control hiyo hali. - Kwa sababu, unajua mtu unapompenda huwa unamtakia mema. - Kwa hiyo kama kweli mimi nampenda kwa dhati, sitaki ya kwake yamuaribikie. - Napenda nimuone anafuraha basi nikamwambia mama sawa!!. - You never know! Mimi nimekubali na wala siwaombei wao waachane! Nawaombea heri TU! - LAKINI AKAE AKIJUA HEMED NAMPENDA" MAONI YAKO NI NINI MDAU