@power_media08: "YUPO MTU NAMPENDA, ANAMILIKIWA NA MTU MWINGINE" - HEMED PHD Maisha halisi: Binafsi yangu naamini katika maisha kuna kundi japo sina uhakika wa ukubwa wake la watu wanaishi na wanawake/wanaume waliowapenda tangu wakiwa katika ujana wa ubarobaro. Lakini kuna kundi lingine la watu wanaoishi na wanaume/wanawake ambao sio waliochipua pamoja katika harakati za kutafuta maisha. Hivyo kundi hili huwa bado wakikutana na marafiki zao wa zamani ata kama awakumbushii kupasha viporo huwa wanatazamana kama kioo na sura ya mtu. Wanatazamana vizuri ikiwa tu awakuachia vidonda na visasi. Sasa hapa Hemed PHD msanii wa kiwanda cha Filamu Tanzania na ni msanii wa muziki anasema "Yupo mtu nampenda na anamilikiwa na mtu mwingine, Na inaniwia vigumu sana ku control hiyo hali. - Kwa sababu, unajua mtu unapompenda huwa unamtakia mema. - Kwa hiyo kama kweli mimi nampenda kwa dhati, sitaki ya kwake yamuaribikie. - Napenda nimuone anafuraha basi nikamwambia mama sawa!!. - You never know! Mimi nimekubali na wala siwaombei wao waachane! Nawaombea heri TU! - LAKINI AKAE AKIJUA HEMED NAMPENDA" MAONI YAKO NI NINI MDAU
kuna mtu huko juu kasema anampenda ba mkwe wakee😂😂
2026-07-28 13:23:56
30
Wizz¥~master :
kumbe tuko wengi kiasi hicho
2026-07-19 22:58:24
74
Bless icon💎 :
HII SITUATION INANITESA SANA🤦♂️🙌🙌 Mpaka napata depression kujiona sina bahati
2026-07-19 13:17:34
35
baba sarr :
kwenye ndo kuna watu wanaishi na wake za watu
2026-07-27 13:48:51
21
julie :
Mbona hauna download 😢
2026-06-23 20:21:38
13
momy 😍 abby ❤️ :
haina download jamn
2026-07-19 13:42:00
5
Mwanasaikolojia & mshauri :
huu ndo upendo wa kweli sasa
2026-07-12 12:06:52
24
Mpemba wise :
mateso hayo tunapitia wengi
2026-07-31 19:04:14
0
Hyper :
Sad truth 🥺😔🙌🏽
2026-07-28 18:06:01
1
farry :
hii ndo naipitia mm inauma nyie acheni tu wallah😩
2026-07-25 12:25:07
10
user74544061763441 :
kidogo niweke status nikakumbuka namimi tayari namilikiwa namtu mwingine nahuyo mtu alikuwa wamtu mwingine😂
2026-07-28 18:06:09
7
Funny TV :
Hamtaki shoo kam hii kweny Arenaa 😁😁
2026-07-16 01:22:05
5
Saidi herry💔💔💔💔 :
maisha ni kusaidiana
2026-07-02 09:14:44
5
Rehema Juma :
Ndy kaka
2026-07-28 11:58:10
2
@debaxkhan09 :
kweri hata mimi yupo anausumbua Sana moyo wangu
2026-07-16 17:50:55
7
UNKNOWN⚠️ :
wallah huyuu ni mimi kabisa😭😳
2026-07-29 00:11:33
1
shehaanwary :
nampenda rafki ake 😄
2026-07-29 06:29:42
1
addy adax :
najiona mm
2026-07-26 21:22:00
3
Asyat :
ilibidi nimuache aende akawe na mwanamke ampendae nilijali furaha yake nikajisacrifice now nishazoea ishi bila yeye cha ajabu anataka kurudi kwangu baada ya miez6
2026-07-29 08:42:27
1
Mutran Pharhan323 :
mim kabisa😎😎😎
2026-07-05 19:33:18
3
duly :
huyu n mimi kbsaa
2026-07-28 10:20:18
1
To see more videos from user @power_media08, please go to the Tikwm
homepage.