@mozannah: Assalam alaykum guyyss ..Haya leo tupike boga la maziwa 🫶 Ukitaka raha ya hii recipe upate boga lenye unga, Yani lile zuri sana. Mi hili lina maji maji halikuwa na unga 😭 Mahitaji ni -Boga -Maziwa nimetumia pakt 1 (nusu lita) -hiliki -Custard powder 1 tbspn -Sukari & Chumvi Ukianza kupika hakikisha maziwa yapo chini yani yasizidi boga maana asili ya boga huwa inatoa maji so ukizidisha hautopata matokeo mazuri🩷 Thank you guyysss. Usiache kulike , Comment & share🫶 #swahilifood #viral #cooking #food