@machingatvtz: MMILIKI wa kampuni ya Dr Toyota, bwana Salim Mbuma, amesimulia kisa cha kijana aliyempa kazi lakini baadaye akatoroka bila taarifa yoyote. Dr Toyota amesema tukio hilo limemsikitisha sana, akieleza kuwa baadhi ya vijana wamekuwa na tabia ya uvivu na kukosa uvumilivu katika kazi. Ameongeza kuwa mafanikio yanahitaji kujituma, nidhamu na subira badala ya kukata tamaa mapema. “Vijana wengi wanataka mafanikio ya haraka bila kupitia changamoto za kazi,” amesema Dr Toyota. Kauli yake imeibua mjadala mkubwa mtandaoni ambapo baadhi ya watu wameunga mkono maoni yake huku wengine wakisema mazingira ya kazi nayo yanapaswa kuangaliwa ili kuwafanya vijana wabaki kazini.

Machingatv
Machingatv
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 12 May 2026 12:10:39 GMT
264714
9846
337
465

Music

Download

Comments

johnbambino_esq
John Bambino ⚖️ :
Kuna mambo mengi sana kwa vijana. Ila wakuu kuteseka sio sifa, kama mtu unaona kitu hakikufai achana nacho mapema sana sio kuwaza mambo ya job security. Ila ukiondoka aga
2026-05-12 19:26:38
276
benson_tz255
Benson tz255 :
Mnaajiri matozi mabrotherman mapisi kali mnakuja kulalamikia vijana mnatukosea sana.
2026-05-13 06:44:54
184
estro_juanna
Estro🦝 :
Maisha expensive ukileta uchumi tunasepa chapuu.Amna kazi yenye pay nzuri mtu akimbie bhn
2026-05-12 20:48:21
76
hu_ms29
حمود :
vijana wanapenda kazi nyepesi
2026-05-12 18:40:33
27
bmtzappliances
bmtzappliances :
Vijana wanazinguwa sana 💔
2026-05-12 19:23:07
17
the_civilized
The shooter :
Kama sio wa kwanza kuacha fanya research shida ni nini hapo kazini kisha tuletee balanced story
2026-05-13 06:05:25
29
zuhaiyn
Zohain Faith :
Kazi tunafanya ila mnasumbua kwenye malipo
2026-05-13 04:10:42
29
ammar_spicot
Ammar :
Kwahio doctor toyota ulianza kaz ukiwa mzee sio
2026-05-13 07:09:20
27
kelvinmetusi_
kelvin_ :
Nina wazo ila kama nitalisema nitapingwa... ila mi ninachojua organization/corporation yoyote inajali profit sanaa, wanaweza kuongeza au kupunguza wafanyakazi muda wowote. Issue ya mishahara na benefits kwa mfanyakazi huwa linawekwa kwenye kiwango ambacho hakiathiri faida ya boss....Kiufupi kampuni yoyote inajali faida zaidi kuliko chochote
2026-05-12 20:06:36
31
myplantstz
Ammar-AfroShiraz :
vijana wengi hawataki kuamini kwamba maisha ni process
2026-05-12 20:49:50
15
holy_cakes_tz
Holy_cakes_tz and more :
Asante doctor mi pia naajiri kwenye keki upuuzi kibao na wanataka maisha mazuri ,Ttzo hawajui ss maboss tulikuwa chin ya watu before na tulijiheshimu na kuvumilia sana ndio Mungu akatufikisha tulipo fika 🙏
2026-05-13 05:02:28
12
vacation990
Vacation💵💵 :
kaka umesema ukweli yaan wanakuja kazin kama vacation
2026-05-12 19:17:34
26
msomali_furniture
Msomali furniture&home decor :
wanaishia kuwa kina Anko chai
2026-05-12 19:30:13
15
johnchedy
fixer mbega :
kujifunza kupo boss
2026-05-13 04:16:49
6
hamza58174
Hamza :
kaka nakuelewa saaanaaaa nipo Cape Town hapa nashughulika na construction eehh brother nina mwaka wa Tatu huu after lock down ya Corona aaah mzeee nimeamua kufanya kazi na wamalawi kaka wabongo Wana high expectations kaka
2026-05-12 18:56:44
35
maxdesignspro
DesignerMax :
kuteseka sio sifa boss
2026-05-12 20:08:11
25
king.hash0
King Hash :
wanapenda maisha rahisi
2026-05-12 19:27:30
7
wa_mipakani
Wa_Mipakani :
Hili ni janga la taifa aiseeeee
2026-05-12 18:18:08
10
user9547379180436
DedeJr :
kweli bro wanadengua sana madogo
2026-05-12 19:22:41
6
partkenzo
Part Kamba :
Sio kwel
2026-05-12 18:53:04
8
mindcove_
MindCove. :
huyo alikuwa sio mfanyaji kazi maana alikuwa anatamaa tuu
2026-05-12 19:11:13
8
frankdenzo245
Frank :
hata Mimi nimeacha kazi Sana mpaka 35yrs. siku hizi nimetulia.
2026-05-13 06:27:11
6
nevykenzo2
kenzo gear :
wenye uitaji tupo
2026-06-08 06:31:06
1
To see more videos from user @machingatvtz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About