@tumaini_pr_tv: Kampuni ya gesi ya Oryx Energies imetangaza rasmi bei mpya za kujaza mitungi ya gesi kwa wateja wake nchini kote. Tangazo hilo limebainisha mabadiliko ya bei kwa mitungi ya ukubwa wa kilo 6 na kilo 15, likilenga kutoa mwongozo kwa wateja wa jumla na wale wa rejareja. Bei ya kujaza mtungi wa kilo 15 sasa ni Tsh 56,000 kwa bei ya jumla, huku bei ya rejareja ikiwa ni Tsh 62,000. Kwa upande wa mtungi mdogo wa kilo 6, wateja wa jumla watapata huduma hiyo kwa Tsh 24,500, huku watumiaji wa rejareja wakitozwa Tsh 27,000. #tumainiprtv #tboyliontz #hapaninyumbanikwawote
Tumaini pr Tv
Region: CA
Tuesday 12 May 2026 14:23:22 GMT
Music
Download
Comments
Reqqy :
na mtwara kuna vita🤔
2026-05-12 16:48:49
209
Salome Chikusi :
tutaacha kupikia ges tutapikia mkaa
2026-05-12 18:28:04
75
kokusima :
Mmh! endelea kupumzika kwa amani rais Magufuri daima tutakukumbuka,
2026-05-12 16:13:43
169
yahsintasilvester :
na hazijai😳😳
2026-05-12 16:12:42
32
alphonsi_ Ngowi :
tuta endelea kukata miti tuu hamna namna
2026-05-12 16:25:33
65
Anne :
na ges inatok tz
2026-05-12 16:11:15
33
Lee kaluchuy❤️ :
iyo elfu 27 mm Sina 🤣🤣
2026-05-13 08:47:56
13
BOB JAMA C :
kazi kwenu muliotiki oct 29 tunaisoma wote sasa 🙌
2026-05-13 08:56:11
35
Yasir Yandas :
ila tanzania watu wana pita na brands, apo adi bei ya choo ita panda ...kunya 6000 kukojoa 5000
2026-05-13 04:35:04
19
Tammie_Store :
Tanzania si tuna gesi jamani
2026-05-13 10:38:33
7
Pendo Hassan :
mpaka tuseme bado hatujasema
2026-05-12 15:08:29
25
reywesley :
izo bei za wap maana uku jumla ni 25500 rejareja ni 28000
2026-05-12 16:41:27
12
Angel-:anton :
kama ni kweli nitafurahi san
2026-05-12 16:47:07
6
@mos petro :
hapo bado hata mwaka haujapita mambo yamekuwa magumu hivi je mpaka 2030 itakuwaje
tutafka tumechoka san
2026-05-13 11:28:15
11
Ashmam 😍 :
Misitu yetu ndo hazina yetu kuanzia sasa
2026-05-12 18:13:07
12
Lucky🥰 :
Anaejua yanapouzwa majiko ya solar tulisoma kwenye geography anitag plz😔😓..... wasinichanganye saiz😂
2026-05-12 19:06:16
8
silasthomas705 :
NA UMEME NAO UNAPANDA SIKU SI NYINGI,,,😩☹️☹️
2026-05-13 04:59:05
5
Henam :
wanapenda kujiamulia mambo
2026-05-12 16:47:20
11
mchekelea :
that look good
2026-05-19 20:39:32
2
Rev.zawadielmaruchu :
Hakuna mtetezi!!
2026-05-20 09:59:00
2
mimah omarry :
boraa nlishajazaa
2026-05-13 14:55:44
0
Ezralyta@Ezramain :
daah iyo bei. siyo ya kweli kwenye iyo 6kg umeongeza 20500 na iyo 15kg umeongeza 1000
2026-05-12 21:17:19
0
DADY🎤👈 :
uzuri inapanda Kwa wote 🎤👈
2026-05-18 05:45:29
1
Maswi :
Niko na mitungi ya oryx nauza.
2026-05-13 10:20:29
1
it's me❤️🩹🔐 :
hii bei ya kupanda ni ya lini sabbu uku kwetu ni 28000, sasa mnanishtua jaman😁😁
2026-05-12 18:44:47
4
To see more videos from user @tumaini_pr_tv, please go to the Tikwm
homepage.