@healthyfity1: Acid reflux imevuruga koo lako, tumbo na mwili kwa ujumla… Na unatamani kurudi kwenye hali yako ya kawaida tena. Koo kuwasha, kitu kukwama kooni, gesi tumboni, kifua kuungua, pumzi kubana, choo kutokuwa sawa, mwili kuchoka 😣 ⚠️ Hizi zote zinaweza kuashiria mfumo wa mmeng’enyo wa chakula umepata usumbufu. Swali ni… Je upo tayari kufuata hatua za kurestore mfumo mzima wa mmeng’enyo wa chakula? Hatua muhimu ni kama: 1️⃣ Kuweka sawa na kudhibiti kiwango cha acid tumboni ⚖️ 2️⃣ Kusafisha koo na tumbo ili kupunguza usumbufu 3️⃣ Kurejesha na kuimarisha bacteria wazuri wa mmeng’enyo wa chakula 🦠 4️⃣ Kusaidia valve (LES) ya tumbo kufanya kazi vizuri ili kuzuia acid kurudi juu 🔒 5️⃣ Kurejesha usawa wa mfumo mzima wa mmeng’enyo wa chakula na kuimarisha afya ya mwili kwa ujumla 🌿 📩 Kwa ushauri zaidi na mwongozo wa afya ya mfumo wa chakula wasiliana na Dkt. Geaz 📞 #acidraflux #DigestiveHealth