@jumaalone: Wanangu huu ni mchongo wa kweli wa kupiga pesa kwa wale wanangu wote ambao wanaishi ulaya kumbe hii kazi wanaopiga wahindi,wabangaleshi na watu wengine kutoka asia wanapiga pesa kishenzi. Tatizo sisi ngozi nyeusi tunafeli kwasababu ya dharau na majivuno pia na aibu kwamba kwakuwa nafanya kazi hii watu wa africa watanichukiliaje🤣mwisho wa siku unajikuta unafeli kabisa. Kiuhalisia maisha ya ulaya hakuna kudharau kazi ni mwendo wa kupiga kazi. Kazi ambayo unaidharau yule anayefanya anapiga pesa ndefu sana ila machoni mwako unamuona jamaa kama anacheza au anachekesha. Kwenye swala la kutafuta maisha hakunaga aibu….aibu ndio inajenga kufeli na kuwa mvivu mwisho wa siku unahesabu miaka bila kufanya jambo lolote la maana. #viralvideos #trend #tanzaniatiktok #kenyantiktok🇰🇪 #zanzibar

Juma_alon£alon£ 2🇿🇦🇬🇧🇹🇿
Juma_alon£alon£ 2🇿🇦🇬🇧🇹🇿
Open In TikTok:
Region: GB
Wednesday 13 May 2026 00:56:51 GMT
98730
4033
46
106

Music

Download

Comments

nyotayao
nyotayao :
Kazi ya delivery na Taxi zina ela nzuri kuliko kupambana na Kazi za warehouse
2026-05-18 13:11:47
15
fex_avventura
Fex_Avventura :
wazi
2026-06-28 17:49:22
0
kelvin.kidiwa
Kelvin Kidiwa :
unaelezea sana jambo moja
2026-06-19 16:31:50
4
user42845098551928
Achy@234 :
Vp bro
2026-06-04 17:04:18
0
user3032803792417
user3032803792417 :
nakubali kaka Angu naomba tukaze
2026-06-20 21:08:44
0
kenanmligo
Kenan :
Umetisha sana🔥🔥
2026-05-14 03:55:02
3
faisalkhalfansaidmasud
Faisal Khalfan Said :
tuna jifunza kitu
2026-05-23 07:27:03
2
yusuph.omary55
Yusuph Omary :
bro that's good
2026-05-14 14:41:50
0
raisonkabenga
raison kabenga :
naomba unisaidie na mimi
2026-05-15 03:37:34
2
mathayo.michael7
mathayomichael8 :
sana tena umechelewa kuanza
2026-06-16 19:34:29
1
sylvesterstephan6
🔥OfficialManga :
safari ni 💰💰🙏
2026-05-14 08:31:34
2
hasamali_78
hamad :
one day yes
2026-05-20 19:33:07
1
ggaman41
ggaman278 :
oyaaaaa
2026-06-14 19:47:12
0
jay_pan1
CHALAB👑✨️ :
one day ✈️🛬🛩
2026-05-13 13:33:05
1
salumcaptan
$S.cptn.S$🥰💯 :
nakubal anko
2026-05-13 03:34:57
3
lovelyyydoreen
Lovelyydoreen :
Naomba visa ya ulaya😂
2026-05-13 05:36:43
6
trueth26
IMU :
shida in port of entry
2026-06-06 09:43:23
1
fredy.cosmetics.d
Fredy Cosmetics dealer :
Hakika mkuu mchongo huo tia nia 😍
2026-05-22 12:29:05
1
khaliglass17
Khaliglass17 :
ongea haraka haraka Nina wahi
2026-05-14 16:44:28
3
arushaleoleo
kingkola@chuganation :
delivery iyoo njoo uarabuni uone tunavyo pambania na mshahara mdogoo
2026-05-14 15:46:05
2
saimon.benson
Saimon Benson :
pound 200 km laki 700000
2026-05-14 18:46:52
3
sonicdick4321
dickson🇹🇿🇹🇿 :
uwakika
2026-05-13 04:52:51
2
alfredaloyce652
Alfred Aloyce :
tupe data
2026-05-14 20:06:21
1
rammy0255
🕌MUSLIM🕌 :
Hapo ni ilford mtaani kabisa palikuwa
2026-05-14 19:49:45
1
To see more videos from user @jumaalone, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About