Mwalimu kweli kweli nikukuelewa kutoka Kenya, alamski👏
2026-07-05 16:32:17
0
kenge :
asante sana
2026-05-19 07:37:16
1
Einstern Alexander :
nitafute nikupe kazi
2026-07-03 18:39:55
0
Victor Mgusi :
uko wapi?
2026-07-03 11:50:12
0
Yakub Tofik :
poa
2026-07-04 07:12:09
0
Woods69 :
Sasa kaka hio capacitor ni ngapi
2026-07-04 10:27:51
0
Victor Mgusi :
unaiuzaje generator?
2026-07-03 11:49:16
0
martinredisony :
Itazunguka kwa masaangap kutoka battery ipo full chaji
2026-07-03 03:31:08
0
kenge :
kuna zawadi yako huku
2026-05-19 07:45:39
1
Paul Spater :
je hiyo cap inaunganika kwenye live na nutro ama
2026-07-08 09:15:19
0
pagielfarmtz :
kama unaunga capacitor unaloop hiyo motor inaweza run kwenye single phase yoyote hivyo huyo mtu alikuwa sawa alokuambia haikubali tafsiri Yale hapo hata ungeunga single phase ingerun vizuri bila modification
2026-07-06 16:50:25
0
balinandijoel :
Sasa uyu uneza zuwiya motor baba
2026-07-05 07:19:21
0
nickname :
Kaka hizo betri ni ujazo gani?
2026-07-04 17:31:55
0
minister :
sawa tukitaka kujifunza tupo znz tunakupataje
2026-07-04 07:37:27
0
Renatus Mtaki :
weka namba ya mawasiliano
2026-07-04 12:41:17
0
its Jey :
miatati sabini waandika 380
2026-07-03 16:12:21
0
Thomas Barongo :
nataka moja,nko kenya,nitaipataje
2026-07-06 19:24:50
0
Hashim :
nifahamishe vizuri
2026-07-02 22:37:31
0
user6313450762495 :
mi nataka kujifunza mwal
2026-07-09 10:41:09
0
To see more videos from user @shawwaltv, please go to the Tikwm
homepage.