@dj_alenaa:

Dj_alenaa
Dj_alenaa
Open In TikTok:
Region: ID
Wednesday 13 May 2026 15:45:57 GMT
1722
345
7
41

Music

Download

Comments

penghuni_2030
￴ :
2026-06-01 05:46:21
0
rizky24cemosee
reyyen blue :
wowowow
2026-05-13 16:17:36
0
sheiroo.owner
sheiro 🐣 :
aduh Tante
2026-05-13 16:03:36
0
branz2455
Branz :
kok mirip yahh, apa perasaanku aja
2026-05-13 21:58:49
0
muhammad.bjm
amat banyak :
😍
2026-05-14 02:34:08
0
rizdi15
keraknasi :
🤩🤩🤩
2026-05-13 15:52:27
0
heril813
herynova :
😍😍😍
2026-06-01 23:04:01
0
To see more videos from user @dj_alenaa, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

🛐🛐🛐🛐 *NOVENA YA MTAKATIFU RITA WA KASHIA*  *_SIKU YA 10:(Siku ya kwanza Shukrani)_* _Baba wa milele! Ambaye huruma yako haina mwisho, na wema wako ni wa milele. Niangalie nikikusujudia kwa unyenyekevu mbele ya kiti chacko cha Enzi kitukufu. Nainua kutoka chini ya moyo wangu utenzi wa kukushukuru kwa upendo ulionijalia kupitia mtumishi wako Rita wa Kashia._ _Natambua eeh Mungu wangu kuwa sistahili kupata fadhila ulizonikirimia na kwa kutokujali mapungufu yangu bali umenisikiliza sala yangu kwa maombezi ya mtakatifu Rita wa Kashia._  _Ee mtakatifu Rita mfanya miujiza maarufu wa kanisa katoliki; kwako ninakutolea shukrani zangu za dhati. Kinywa changu hakina maneno ya kutosha ya kueleza jinsi ninavyojisikia moyoni mwangu. Ee mtakatifu mpenzi;ni kweli kwamba wote wanaotumainia maombezi yako hawakatishwi tamaa._ _Nijaze daima neema ambayo naweza kupata kupitia huruma ya Mungu na unijalie ulinzi wako katika maisha na kifo._  *_Baba Yetu*3,  Salamu Maria*3 na Akukuzwe Baba*3_* __Kwa njia ya Mtakatifu Rita; homa, madonda na tauni, viini vya maradhi mbalimbali, mapepo na ghadhabu vitoweke_ .   _*Unawasaidia vipofu, viziwi, bubu na viwete: watoto wanaomba sana na wafu wanarudishiwa uhai.*_      _Kwa maombezi yako: radi, tetemeko la ardhi na moto havina nguvu, kwa utakatifu wako mitego yote, hatari  kubwa na vitisho vyote hutoweka_ .  *Unawasaidia vipofu, viziwi, bubu na viwete ; watoto wanaomba sana na wafu wanarudishiwa uhai.*   _Hispani wanakutangaza kuwa Mtakatifu  wa mambo yaliyoshindikana.  Watu wengi wanaimba sifa zako. Kashia hutukuza jina lako_ ;   *Unawasaidia vipofu viwete bubu na viziwi, watoto wanaomba sana na wafu wanarudishiwa uhai.*   _Kwa Mungu Mtakatifu, na kwa Mwanae ziwe sifa, utukufu na heshima, sifa kwa karne zote za Pendo la milele._   *Unawasaidia vipofu, viziwi, bubu na viwete , watoto wanaomba sana na wafu unawarudishia uhai.*    *KIONGOZI* : _Umemtia alama Ee Bwana, mtumishi wako Ritha._     *WOTE:* _Kwa muhuri wa upendo na mateso._    *TUOMBE;* _Ee Mungu, uliyekubali kumtawadha Mtakatifu Rita kwa neema, hata akakubali kuwapenda adui zake hadi akapata rohoni mwake na katika paji la uso alama za upendo na mateso. Tunakuomba kupitia maombezi yake, neema za kusamehe adui zetu na kutafakari maumivu ya mateso yako, ili tupate tuzo ulilotuahidia kuwa wapole na wanaoteseka. Unayeishi na kutawala, daima na milele . AMINA🙏🏽🙏🏽_  🛐🛐🛐🛐 *Kila baada ya kusali novena ya siku , tunasali litania kwa siku zote 12* #trending #viralvideo #kwayakatoliki🥳🥳Karibu
🛐🛐🛐🛐 *NOVENA YA MTAKATIFU RITA WA KASHIA* *_SIKU YA 10:(Siku ya kwanza Shukrani)_* _Baba wa milele! Ambaye huruma yako haina mwisho, na wema wako ni wa milele. Niangalie nikikusujudia kwa unyenyekevu mbele ya kiti chacko cha Enzi kitukufu. Nainua kutoka chini ya moyo wangu utenzi wa kukushukuru kwa upendo ulionijalia kupitia mtumishi wako Rita wa Kashia._ _Natambua eeh Mungu wangu kuwa sistahili kupata fadhila ulizonikirimia na kwa kutokujali mapungufu yangu bali umenisikiliza sala yangu kwa maombezi ya mtakatifu Rita wa Kashia._ _Ee mtakatifu Rita mfanya miujiza maarufu wa kanisa katoliki; kwako ninakutolea shukrani zangu za dhati. Kinywa changu hakina maneno ya kutosha ya kueleza jinsi ninavyojisikia moyoni mwangu. Ee mtakatifu mpenzi;ni kweli kwamba wote wanaotumainia maombezi yako hawakatishwi tamaa._ _Nijaze daima neema ambayo naweza kupata kupitia huruma ya Mungu na unijalie ulinzi wako katika maisha na kifo._ *_Baba Yetu*3, Salamu Maria*3 na Akukuzwe Baba*3_* __Kwa njia ya Mtakatifu Rita; homa, madonda na tauni, viini vya maradhi mbalimbali, mapepo na ghadhabu vitoweke_ . _*Unawasaidia vipofu, viziwi, bubu na viwete: watoto wanaomba sana na wafu wanarudishiwa uhai.*_ _Kwa maombezi yako: radi, tetemeko la ardhi na moto havina nguvu, kwa utakatifu wako mitego yote, hatari kubwa na vitisho vyote hutoweka_ . *Unawasaidia vipofu, viziwi, bubu na viwete ; watoto wanaomba sana na wafu wanarudishiwa uhai.* _Hispani wanakutangaza kuwa Mtakatifu wa mambo yaliyoshindikana. Watu wengi wanaimba sifa zako. Kashia hutukuza jina lako_ ; *Unawasaidia vipofu viwete bubu na viziwi, watoto wanaomba sana na wafu wanarudishiwa uhai.* _Kwa Mungu Mtakatifu, na kwa Mwanae ziwe sifa, utukufu na heshima, sifa kwa karne zote za Pendo la milele._ *Unawasaidia vipofu, viziwi, bubu na viwete , watoto wanaomba sana na wafu unawarudishia uhai.* *KIONGOZI* : _Umemtia alama Ee Bwana, mtumishi wako Ritha._ *WOTE:* _Kwa muhuri wa upendo na mateso._ *TUOMBE;* _Ee Mungu, uliyekubali kumtawadha Mtakatifu Rita kwa neema, hata akakubali kuwapenda adui zake hadi akapata rohoni mwake na katika paji la uso alama za upendo na mateso. Tunakuomba kupitia maombezi yake, neema za kusamehe adui zetu na kutafakari maumivu ya mateso yako, ili tupate tuzo ulilotuahidia kuwa wapole na wanaoteseka. Unayeishi na kutawala, daima na milele . AMINA🙏🏽🙏🏽_ 🛐🛐🛐🛐 *Kila baada ya kusali novena ya siku , tunasali litania kwa siku zote 12* #trending #viralvideo #kwayakatoliki🥳🥳Karibu

About