@acx.sm: hindi pala abot hehe #funny #cat #voiceover #meme #fypp

AGA.
AGA.
Open In TikTok:
Region: PH
Wednesday 13 May 2026 16:45:25 GMT
796746
62969
334
115307

Music

Download

Comments

fordyy444
Fordy. 🥦 :
time check 3:54am
2026-05-13 19:55:00
279
jackyrojo69
Railey Rojo :
aray mo uy pusa
2026-06-13 03:59:44
1
ganzo079697
strom chaser🇵🇭 :
pindotin mo yong like
2026-05-14 10:08:05
71
austine.morcoso
Austine Morcoso :
nakakatawa🤣😂
2026-05-23 13:39:35
1
lex1i1i
L3X1🫶 🤪 :
FIRST
2026-05-13 16:47:12
16
jcaesarzz
JuliusCaesarS. Uy :
hahahahahaha hahahhahahahhahahahahhahahhahahahahahahhahahahahahahahahhahahahahahahahhahahahahahahhahahahahahhahahhahhahahahahahhahahahahahahahahahhahahahahaahahahahahhahahahahhahahahahahahahhahahahahahahahhahahahahahahhahahahahahahhahahahahahhahahahahahahahhahahahahhahahahahahahahahhahahahahahahahahhahahhaah hahahhahahahhahahahahhahahhahahahahahahhahahahahahahahahhahahahahahahahhahahahahahahhahahahahahhahahhahhahahahahahhahahahahahahahahahhahahahahaahahahahahhahahahahhahahahahahahahhahahahahahahahhahahahahahahhahahahahahahhahahahahahhahahahahahahahhahahahahhahahahahahahahahhahahahahahahahahhahahhaah hahahahahaha hahahhahahahhahahahahhahahhahahahahahahhahahahahahahahahhahahahahahahahhahahahahahahhahahahahahhahahhahhahahahahahhahahahahahahahahahhahahahahaahahahahahhahahahahhahahahahahahahhahahahahahahahhahahahahahahhahahahahahahhahahahahahhahahahahahahahhahahahahhahahahahahahahahhahahahahahahahahhahahhaah hahahahahaha🤣
2026-06-20 10:06:27
26
catalinaarro981
Catalina Arro :
2026-05-25 04:00:35
1
vonjoseph.420
VonnieG_420 :
that's so sad way
2026-05-16 11:06:47
8
a.kingbob
alex_atienza :
kaklase ko be like
2026-05-27 07:34:23
6
normala.m.ismael
Normala M Ismael :
😂😂😂😂🥰🥰🥰hahaha
2026-06-08 04:36:57
1
jayzel.sapphire.l
Jayzel Sapphire Lacdan :
aray mo
2026-05-31 13:11:26
1
helendelamata1
princess :
aray ko
2026-05-26 02:52:35
1
mjrectosilan
QueenGigi37 :
@and
2026-06-03 12:47:17
1
crister.loped
Crister LOPED :
Sjbdk
2026-05-29 06:16:07
1
original_maee
$originally_Maee$ :
haah😆
2026-05-26 00:22:07
1
noel.bernales5
Noel Bernales :
😂😂😂opo Hindi Po namin Nakita yun😂😂😂🤣 promise 😂😂
2026-05-20 11:38:53
8
myleneazucenasbai
Mylene Azucenas Bais :
aray ko
2026-06-11 07:52:34
3
emerzonbriones82
Emerzon🤪 :
100
2026-05-22 02:36:59
1
jairie9443official
jairie9443 other account :
Aray dalagi
2026-05-27 05:29:07
1
martyolaguer
MARTY OLAGUER :
waaawwaa😳😳😳
2026-05-24 01:01:01
1
a.1a318
. :
HggiVfPh😂
2026-05-26 09:23:51
1
ash_02870
ash_0287 :
Araw ko
2026-05-18 00:52:37
3
To see more videos from user @acx.sm, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Mwezi April mwaka 1974 Steve Jobs (akiwa kijana wa miaka 19 tu) alifunga safari ya MIEZI 7 toka Marekani kwenda KUHIJI India na ili kuonana na kujifunza SIRI ZA KIROHO kwa Guru mmoja wa India aliyeitwa NEEM KAROLI BABA (jina jingine MAHARAJ-JI). Safari hii aliianza baada ya kusoma kitabu (BE HERE NOW - cha Ram Dass) ambacho kiliongelea kanuni za mafanikio za Wahindi na kuorodhesha nguvu za kiroho na mafundisho ya NEEM KAROLI BABA. Bahati mbaya alipofika India aliumwa kwa hiyo akasimama safari kwanza mpaka alipopata nafuu… na pia kwa sababu ya maisha ya miaka hiyo na kukosa usafiri wa haraka kama leo na mawasiliano alipofika India na kuanza kusafiri mpaka kufika huko milima ya Himalaya na kufika eneo husika wakakuta temple ile haina watu na kumbe NEEM KAROLI BABA alikuwa amefariki mwaka wa nyuma yake mwezi September yaani September 1973! Steve Jobs alikuwa very disappointed. Alihisi atakosa nguvu za KIROHO alizoenda kusaka! Lakini kwa namna nyingine alizipata! Story short alirudi Marekani akiwa alishanyoa nywele na akiwa anaamini vitu vipya na ikiwemo MINIMALISM na ZEN BUDDHISM na mengine mengi ikiwemo YOGA. Roho ile na maarifa aliyopata huko India ndivyo vilipelekea TAREHE 1 APRIL, 1976 akazindua kampuni ya APPLE na leo ni GIANT COMPANY duniani.  Miaka 11 iliyopita (2015) Mark Zuckerberg akiwa kwenye mkutano na Waziri Mkuu wa India Narendra Modi alimwambia huyo Waziri Mkuu wa India kuwa mafanikio ya Facebook yana mchango wa India kwa sababu alipokuwa ameanzisha Facebook ikiwa Ina struggle sana kama kampuni changa alienda kupata ushauri kwa Steve Jobs nini cha kufanya na Steve Jobs akamwambia aende India kwenye ile Temple (KIACHI DHAM ASHRAM) na Zuckerberg akaenda HIJA kwenye hiyo TEMPLE pia na alitoka na nguvu za KIROHO zilizomfanya kuwa clear na VISION yake na leo META ni giant among the giants of the world.  Wakati nasoma MEMOIR ya Phil Knight (SHOE DOG) in 2020 nili take note kuwa safari zake za Japan na Greece na sehemu zingine enzi anaanzisha BLUE RIBBON then NIKE zilihusisha mambo ya KIROHO. Na kama nilivyosema kwenye video hata neno NIKE ni jina la muungu wa kigiriki. So usishangae kuona brand imesimama. BRAND ZOTE KUBWA zina ROHO nyuma yake hapa duniani. Jipange. Dunia inaendeshwa kwa ALTARS. Lazima ubadilishane MALI kwa ROHO. Sisi wakristo tuna andiko maarufu sana: “BARAKA YA BWANA HUTAJIRISHA, WALA HACHANGANYI HUZUNI NAYO” (Mithali 10:22) So kwa Mungu wangu utajiri source yake ni BARAKA YA MUNGU. Hiyo ndo nitatafuta. Siyo pesa wala umaarufu. Pesa na umaarufu ni MATOKEO ya wapi ulipeleka ROHO. Dunia ina miungu mingi na Mungu hajataka miungu isiwepo. Lengo lake ni ili umkubali yeye out of CHOICE siyo kwa kuwa huna choice. So jua miungu ipo mpaka mizimu na shetani yuko LIVE kabisa na Mungu wa kweli yupo na wote WANAFANIKISHA. Ni juu yako ku chagua. Ila utakayeamua AKUFANIKISHE umechagua na kumpa roho yako!  Hakuna katikati. So usitamani tu kutajirika. Utajiri unakuja na POWER na INFLUENCE. Dunia haiwezi kukuruhusu uwe na hivyo vitu viwili kizembezembe! Lazima uwe na spiritual GROUND.  Mafanikio makubwa yote kampuni zote kubwa na MATAIFA MAKUBWA YOTE kuna mahali KIROHO wame exchange something far more valuable. Teknolojia zote serious zenye impact hazijatokana na akili tu bali watu waliokubali kufungua milango ya KIROHO ili ulimwengu mwingine upate access ya ku control na ku influence dunia. Ndo maana unaona kila mtu anataka vitu vya BRAND FULANI siyo bure kuna nguvu kubwa ya KIROHO. Unaona kuna watu wana nguvu kuliko SERIKALI.  Lengo langu si kukuogopesha bali kukufungua macho ujue na UJIANDAE. Unatakiwa kuwa vizuri na Mungu wa mbinguni. Ukiamua kuwa Mungu si muhimu basi ndo utapata kila kitu lakini ROHO utakuwa umeuza long time. Yesu akasema RHETORICALLY kuwa Itamfaa nini mwanadamu akiupata ulimwengu wote kisha akaipoteza nafsi yake?  Kuna watu wana Mali ili walikosea kuzipata. Zinawatesa. Usiwe miongoni mwao. Jua kusudi lako. Mtafute Mungu. Then you’ll be good to go! Semper Fi, Mr. Muhozya
Mwezi April mwaka 1974 Steve Jobs (akiwa kijana wa miaka 19 tu) alifunga safari ya MIEZI 7 toka Marekani kwenda KUHIJI India na ili kuonana na kujifunza SIRI ZA KIROHO kwa Guru mmoja wa India aliyeitwa NEEM KAROLI BABA (jina jingine MAHARAJ-JI). Safari hii aliianza baada ya kusoma kitabu (BE HERE NOW - cha Ram Dass) ambacho kiliongelea kanuni za mafanikio za Wahindi na kuorodhesha nguvu za kiroho na mafundisho ya NEEM KAROLI BABA. Bahati mbaya alipofika India aliumwa kwa hiyo akasimama safari kwanza mpaka alipopata nafuu… na pia kwa sababu ya maisha ya miaka hiyo na kukosa usafiri wa haraka kama leo na mawasiliano alipofika India na kuanza kusafiri mpaka kufika huko milima ya Himalaya na kufika eneo husika wakakuta temple ile haina watu na kumbe NEEM KAROLI BABA alikuwa amefariki mwaka wa nyuma yake mwezi September yaani September 1973! Steve Jobs alikuwa very disappointed. Alihisi atakosa nguvu za KIROHO alizoenda kusaka! Lakini kwa namna nyingine alizipata! Story short alirudi Marekani akiwa alishanyoa nywele na akiwa anaamini vitu vipya na ikiwemo MINIMALISM na ZEN BUDDHISM na mengine mengi ikiwemo YOGA. Roho ile na maarifa aliyopata huko India ndivyo vilipelekea TAREHE 1 APRIL, 1976 akazindua kampuni ya APPLE na leo ni GIANT COMPANY duniani. Miaka 11 iliyopita (2015) Mark Zuckerberg akiwa kwenye mkutano na Waziri Mkuu wa India Narendra Modi alimwambia huyo Waziri Mkuu wa India kuwa mafanikio ya Facebook yana mchango wa India kwa sababu alipokuwa ameanzisha Facebook ikiwa Ina struggle sana kama kampuni changa alienda kupata ushauri kwa Steve Jobs nini cha kufanya na Steve Jobs akamwambia aende India kwenye ile Temple (KIACHI DHAM ASHRAM) na Zuckerberg akaenda HIJA kwenye hiyo TEMPLE pia na alitoka na nguvu za KIROHO zilizomfanya kuwa clear na VISION yake na leo META ni giant among the giants of the world. Wakati nasoma MEMOIR ya Phil Knight (SHOE DOG) in 2020 nili take note kuwa safari zake za Japan na Greece na sehemu zingine enzi anaanzisha BLUE RIBBON then NIKE zilihusisha mambo ya KIROHO. Na kama nilivyosema kwenye video hata neno NIKE ni jina la muungu wa kigiriki. So usishangae kuona brand imesimama. BRAND ZOTE KUBWA zina ROHO nyuma yake hapa duniani. Jipange. Dunia inaendeshwa kwa ALTARS. Lazima ubadilishane MALI kwa ROHO. Sisi wakristo tuna andiko maarufu sana: “BARAKA YA BWANA HUTAJIRISHA, WALA HACHANGANYI HUZUNI NAYO” (Mithali 10:22) So kwa Mungu wangu utajiri source yake ni BARAKA YA MUNGU. Hiyo ndo nitatafuta. Siyo pesa wala umaarufu. Pesa na umaarufu ni MATOKEO ya wapi ulipeleka ROHO. Dunia ina miungu mingi na Mungu hajataka miungu isiwepo. Lengo lake ni ili umkubali yeye out of CHOICE siyo kwa kuwa huna choice. So jua miungu ipo mpaka mizimu na shetani yuko LIVE kabisa na Mungu wa kweli yupo na wote WANAFANIKISHA. Ni juu yako ku chagua. Ila utakayeamua AKUFANIKISHE umechagua na kumpa roho yako! Hakuna katikati. So usitamani tu kutajirika. Utajiri unakuja na POWER na INFLUENCE. Dunia haiwezi kukuruhusu uwe na hivyo vitu viwili kizembezembe! Lazima uwe na spiritual GROUND. Mafanikio makubwa yote kampuni zote kubwa na MATAIFA MAKUBWA YOTE kuna mahali KIROHO wame exchange something far more valuable. Teknolojia zote serious zenye impact hazijatokana na akili tu bali watu waliokubali kufungua milango ya KIROHO ili ulimwengu mwingine upate access ya ku control na ku influence dunia. Ndo maana unaona kila mtu anataka vitu vya BRAND FULANI siyo bure kuna nguvu kubwa ya KIROHO. Unaona kuna watu wana nguvu kuliko SERIKALI. Lengo langu si kukuogopesha bali kukufungua macho ujue na UJIANDAE. Unatakiwa kuwa vizuri na Mungu wa mbinguni. Ukiamua kuwa Mungu si muhimu basi ndo utapata kila kitu lakini ROHO utakuwa umeuza long time. Yesu akasema RHETORICALLY kuwa Itamfaa nini mwanadamu akiupata ulimwengu wote kisha akaipoteza nafsi yake? Kuna watu wana Mali ili walikosea kuzipata. Zinawatesa. Usiwe miongoni mwao. Jua kusudi lako. Mtafute Mungu. Then you’ll be good to go! Semper Fi, Mr. Muhozya

About