@dr.andimile1: DALILI ZA MTU MWENYE NYOTA NZURI LAKINI
IMEFUNGWA
Kuna watu wamezaliwa na nyota kubwa ya
mafanikio, utajiri, mvuto na heshima... lakini maisha
yao yanaonekana ya kawaida au yenye mateso
makubwa. Sababu ni kwamba nyota yao
imefungwa kiroho.
DALILI ZA MTU MWENYE NYOTA ILIYOFUNGWA
Watu wengi wanakupenda mwanzo kisha
wanabadilika ghafla
Una vipaji vikubwa lakini havikupi mafanikio
Kila ukipata nafasi nzuri inapotea dakika za mwisho
Unafanya kazi sana kuliko matokeo unayopata
Unakuwa karibu kufanikiwa kisha matatizo
yananza
Watu wanaiga ideas zako na wao wanafanikiwa
kuliko wewe
Unaweza kupata ndoto za kuanguka, kufukuzwa au
kuwa sehemu za giza
Unahisi kama kuna nguvu inakurudisha nyuma kila
unapoinuka
WATU WENGI HAWAJUI HILI
Kuna nyakati mtu huzaliwa na nuru kubwa ya
mafanikio kiasi kwamba watu wenye husda hujaribu
kuizima kwa njia za kiroho. Ndiyo maana wengine
hupitia:
Mikosi isiyoeleweka
Kukataliwa bila sababu
Kuvunjika kwa mahusiano
Kuporomoka kwa biashara
Kukosa amani ya maisha
JE UFANYE NINI?
✓ Jifanyie uchunguzi wa kiroho ✓ Safisha nyota yako mapema
✓ Ondoa mikosi na nuksi zinazozuia maendeleo
✓ Fungua njia za riziki, mvuto na mafanikio
✓ Linda maisha yako dhidi ya nguvu hasi
Usisubiri mpaka maisha yawe magumu zaidi ndipo
uanze kutafuta suluhisho.
📞 Kwa msaada wa ushauri na tiba za kiroho
#creatorsearchinsights #viralvideo #fyp #nyota
Yan adi nimeriya maana hapa niripo nipo kwenye ndoa mwaka wa3 lakini mateso ninayopitia magumu ninayopitia na umri wangu ni vitu 2 tofauti nateseka mno mungu niokoe nionyeshe njia nifanye mpya tena machoni pa watu niwe mwenyesamahan katika macho ya watu 😭😭🙏🙏
2026-06-03 14:04:49
17
suzie😍 :
ni mimi kabisaaa yani hakuna hata ulichanganya ni mimi huyo
2026-06-30 22:36:37
1
kibo og 222222222 :
mungu bariki nyota yngu baliki maisha yangu bariki bwana mahali palipo fungal naomba pafunguliwe kwa damu yak yesu
2026-06-29 23:36:02
1
@jojo brembo🤴👸 :
yani sijui tumewakosea nn
2026-05-14 03:54:10
9
Slow😘 :
ni me kabisa dalil zote ninazo
2026-05-14 07:12:48
12
vio.let❤️ 😍 :
this is me
2026-05-26 12:21:18
1
Mary👄 :
ni Mimi kabsa🥹🥹🥹🥹
2026-05-16 09:51:56
2
bonge honey💠💠 :
nimim jmn😭😭😭😭😭
2026-05-21 14:46:11
2
mchina feki :
ni mimi taifunguaje mimi
2026-06-01 16:12:13
0
✂️🧵Lizzy disgener👗 :
ni mimi kabisa 😭😭😭
2026-06-23 20:20:31
2
neema nzara :
Eee mungu wangu nisaidie 🙏🙏
2026-06-22 09:24:49
1
Uncle Andrew🇺🇸🇰🇪 :
may Almighty God save any person who is going through this. .
may never leave your side🙏🙏 Amina
2026-06-27 19:42:23
2
al :
mungu nakuomba sana unisaidie napitia hii yote
2026-06-14 21:00:42
1
soniachocolate :
it's me
2026-05-23 07:05:56
0
SINGLE _MAMA_69 :
😭😭😭😭😭mimi kabisaaaaaa
2026-05-29 18:18:08
1
Charity Nibitanga :
huyu ni mume wangu🥺🥺🥺
2026-05-14 21:06:25
6
james kapina :
amina
2026-05-31 06:05:17
1
ezekiel siara :
off course ni kama umeniona 😭😭😭😭😭
2026-05-20 17:40:56
1
Bertin Ladislas :
Amina
2026-05-26 05:54:32
2
Mommy 4❤️🌹 :
ni kwel ata mimi najiona na sijui nafanyaje naumia😭😭😭❤️🔥❤️🩹
2026-06-19 12:37:01
2
Smart joker :
iwe mungu nionekanie
2026-05-27 04:47:07
3
jackjack :
mungu ni muweza wa yote watachezea tuu mwisho watachoka
2026-05-20 07:37:04
2
SAREF ACTOR :
inshaaahla 🙏 ukawe na umri mrefu duniani
2026-06-08 16:27:20
2
@rey_star :
mungu nisaidiye na mm
2026-06-13 06:14:19
2
To see more videos from user @dr.andimile1, please go to the Tikwm
homepage.